AJALI YATOKEA AFRIKANA MBUYUNI DARA
![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEj2uBEv-FOZa0VbuZNFahgjB3iN42dpXc4btfZKnAiS9cgnaDgNgahyppG8mbRC9TLMN*6bh**P7-RXE9ZoP8K/IMG20141026WA0010.jpg)
Umati wa watu wakishuhudia Gari la Kikosi cha Zimamoto na askari wa kikosi hicho wakijitahidi kuzima moto eneo ya tukio. Askari wa Kikosi cha Zimamoto wakisaidiwa na wananchi kuinua gari dogo aina ya Allteza lililoteketea kwa moto mtaroni likiwa na watu watatu ambao inasemekana nao wameteketea. Gari aina ya Allteza imepata ajali hapa Africana karibu na Mbuyuni, imewaka moto na inasemekana hakuna mtu aliyetoka kwani...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp23Y6ter*rYvNSh0e3a*zFaQeZxWeLYkJAiQ3vhcKjkGewqa0uUGCkVbbsdRJwRZzsGcFGslpIEMbSXwbt7OXAjX/IMG20140807WA0019.jpg)
AJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
11 years ago
MichuziAJALI ENEO LA AFRIKANA, MBEZI BEACH MCHANA WA LEO
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Mwendelezo wa habari ya ajali ya Ruaha Mbuyuni: 6 wadaiwa kupoteza maisha
basi hilo baada ya kupata ajali ya kuungua.
Habari zilizotufikia muda huu wa saa nane mchana ni kuwa hadi sasa imeelezwa kuwa watu sita (6) wamepoteza maisha kufuatia ajali ya basi la abiria la Nganga lililogongana na Fuso, na kupelekea magai hayo kuwaka moto, katika eneo la Ruaha Mbuyuni mpakani kwa Morogoro na Iringa.
Hata hivyo, bado kuna ugumu wa habari kamili kutokana na umbali wa eneo hilo la tukio huku tukihalifiwa kuwa, makamanda wa jeshi la Polisi wa Morogoro na Iringa wote simu zao...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCU01bLbFT4/VSooEnr-5nI/AAAAAAAHQgk/YMWvWSNB3Zs/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Ajali 3 zatokea leo Nchini: Ya Ruaha Mbuyuni 18 wadaiwa kupoteza maisha
Mabaki ya ajali iliyotokea maapema asubuhi ya leo inayoelezwa kuuwa watu 18 na kujeruhi 10 huko Ruaha Mbuyuni.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Hadi tunaendelea kuwapatia taarifa hizi usiku huu, tayari imeelezwa kuwa zaidi ya abiria 18, wameripotiwa kupoteza maisha huku 10 wakijeruhiwa vibaya katika ajali ya gari iliyotokea mapema leo majira ya asubuhi iliyohusisha basi la Abiria la Nganga lililogongana na lori aina ya Fuso uso kwa uso, hali iliyopelekea kuungua kwa magari hayo.
Awali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBorIhKqKTZEDcO-VOXuivNQyM5aYXrV66531UOA*II2z2Kyw8ICb0wj*p-9sW6044jHl*RnpSrs*gGYizrjjVnV/AIRBUS.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Ajali ya gari la Nganga na Fuso huko Ruaha Mbuyuni taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Basi la abiria la Nganga likionekana kuteketea kwa moto baada ya kugongana na Fuso majira ya saa mbili asubuhi leo Aprili 12, huko eneo la Ruaha Mbuyuni (Picha kwa mujibu wa mitandao ya kijamii).
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Chumba cha habari cha Modewji blog makao makuu kinaendelea kuwasiliana na vyanzo mbalimbali vya habari kutoka eneo la tukio la ajali mbaya iliyotokea mapema asubuhi ya leo Aprili 12 katika eneo hilo baada ya basi la abiria la Nganga linalofanya safari za Iringaa...
10 years ago
GPLAJALI YATOKEA ENEO LA BAMAGA, DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BQ6xKqLJW-4/VQqwu0ER4BI/AAAAAAADc6I/sVbs7mDkJdQ/s72-c/9d121102f13723e0c6d67a4d472cddba.jpg)
AJALI NYINGINE YA BASI YATOKEA MIKUMI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-BQ6xKqLJW-4/VQqwu0ER4BI/AAAAAAADc6I/sVbs7mDkJdQ/s1600/9d121102f13723e0c6d67a4d472cddba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HR17uISCu-g/VQqwuol192I/AAAAAAADc6A/1g3sgmMNA-E/s1600/95ad4c5234eabe082a7b799b316a4198.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cqhCQnThrEc/VQqwu9N46cI/AAAAAAADc6E/Jbk96v6f_PU/s1600/1013e9158825afb55db2653569f9242e.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XZrHtZM-Gck/VQqwve4ghMI/AAAAAAADc6Q/7uLF4LzQr7E/s1600/a28c424b866f8e111958970dfaca4ac6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uFIDrMYpYFk/VQqwvEze01I/AAAAAAADc6U/I8nFs9L3g28/s1600/a0511b398de67148da44db1aabbb7ebc.jpg)