Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali ya gari la Nganga na Fuso huko Ruaha Mbuyuni taarifa zaidi zitawajia hivi punde

unnamed (64)

 Basi la abiria la Nganga likionekana kuteketea kwa moto baada ya kugongana na Fuso majira ya saa mbili asubuhi leo Aprili 12, huko eneo la Ruaha Mbuyuni (Picha kwa mujibu wa mitandao ya kijamii).

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Chumba cha habari cha Modewji blog  makao makuu kinaendelea kuwasiliana na vyanzo mbalimbali vya habari kutoka eneo la tukio  la ajali  mbaya  iliyotokea mapema asubuhi ya leo Aprili 12 katika eneo hilo baada ya basi la abiria la Nganga linalofanya safari za Iringaa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo

Habari zilizotufikia punde zinasema watu kadhaa ambao idadi yao bado haijafahamika wanasemekana wamepoteza maisha baada ya basi la abiria liitwalo Nganga linalofanya safari zake kati ya Iringa na Kilombero kugongana uso kwa  uso na lori aina ya Fuso na kisha magari hayo kuteketea kwa moto  maeneo ya milimani kilomita  kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kuelekea Morogoro, majira ya saa mbili asubuhi leo. Pichani ni basi hilo la Nganga wakati na bada ya kuteketea kwa moto. Picha ya Fuzo bado...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwendelezo wa habari ya ajali ya Ruaha Mbuyuni: 6 wadaiwa kupoteza maisha

unnamed (63)basi hilo baada ya kupata ajali ya kuungua.

Habari zilizotufikia muda huu wa saa nane mchana ni kuwa hadi sasa imeelezwa kuwa watu sita (6) wamepoteza maisha kufuatia ajali ya basi la abiria la Nganga lililogongana na Fuso, na kupelekea magai hayo kuwaka moto, katika eneo la Ruaha Mbuyuni mpakani kwa Morogoro na Iringa.

Hata hivyo, bado kuna ugumu wa habari kamili kutokana na umbali wa eneo hilo la tukio huku tukihalifiwa kuwa, makamanda wa jeshi la Polisi wa Morogoro na Iringa wote simu zao...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajali 3 zatokea leo Nchini: Ya Ruaha Mbuyuni 18 wadaiwa kupoteza maisha

unnamed (67)

Mabaki ya ajali iliyotokea maapema asubuhi ya leo inayoelezwa kuuwa watu 18 na kujeruhi 10 huko Ruaha Mbuyuni.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Hadi tunaendelea kuwapatia taarifa hizi usiku huu, tayari imeelezwa kuwa zaidi ya abiria 18, wameripotiwa kupoteza maisha huku 10 wakijeruhiwa vibaya katika ajali ya gari iliyotokea mapema leo majira ya asubuhi iliyohusisha basi la Abiria la Nganga lililogongana na lori aina ya Fuso uso kwa uso, hali iliyopelekea kuungua  kwa magari hayo.

Awali...

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZZ:TUKIO LA AJALI MIKESE HIVI PUNDE.

Chumba cha habari cha Globu ya Jamii hivi punde kimearifiwa na kutumiwa picha za tukio la ajali eneo la Mikese na Mdau Martin Mnyenyelwa,lakini hakutufahamisha kuhusiana na athari ya ajali hiyo akiwa kama shuhuda wa tukio hilo. Kulingana na tukio ya taarifa hii kuwa nyembamba,basi tuvute subira tutajuzana kadiri ya zitakavyokuwa zikiiingia kwenye chumba chetu cha habari

 

9 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya hivi punde zaidi ya uchaguzi Tanzania

Haya ndiyo matokeo ya uchaguzi wa urais Tanzania jimbo baada ya jimbo, kama yanavyotangazwa na Tume ya Uchaguzi Tanzania

 

10 years ago

Vijimambo

BASI LA NGANGA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO KISHA MAGARI YOTE YAWAKA MOTO

Basi la Nganga linalofanya safari zake Iringa na Kilombero limegongana uso kwa  uso na Fuso kisha magari hayo kuteketea kwa moto huko maeneo ya Milimani kilometa kadhaa kutoka Ruaha Mbuyuni kama unaenda Morogoro. Inasadikika kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha akiwemo dereva wa fuso hilo na wengine kujeruiwa vubaya. Chanzo chetu kunasema kuwa ajali hii imetokea leo asubuhi. 
Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia hapa.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Mmoja apoteza maisha kufuatia ajali ya gari huko Lindi

ABIRIA mmoja kati ya 28 amekufa papo hapo na wengine kulazwa Hospitali ya mkoa wa Lindi, Sokine,kufuatia basi la kampuni ya CHALA Express walilokuwa wakisafiria kutoka Jijini Dar es salaam kwenda wilaya ya Newala mkoani Mtwara, kukwaruzana na Lori.
Abiria aliyepoteza maisha katika ajali hiyo anaitwa Amina Omari Makodora (48) mkazi wa kijiji cha Kilindoni,wilaya ya Mafia,mkoani Pwani.
Kwa mujibu wa abiria wengine walionusulika kwenye ajali hiyo,wameiambia Globu ya Jamii kuwa ajali hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

AJALI YA GARI ILIYOTOKEA HIVI SASA KWENYE KIPITA SHOTO CHA SAMORA NA AZIKIWE JIJINI DAR

Kondakta (ambaye jina lake halikufahamika - kulia) wa Basi  UDA  lenye namba za usajili T 558 CVP akizungumza na mmoja wa abiria na kumuomba asubiri ili awapandishe kwenye gari nyingine la kampuni hiyo, baada ya gari hilo kugonga gari ndogo lenye namba za usajili wa T 498 DCU katika kipita shoto cha Samora na Azikiwe, jijini Dar es salaam leo. Askari wa Usalama Barabarani wakiwa katika eneo la tukio Askari wa Usalama Barabarani katikati akiongea na Dereva wa UDA. Gari ndogo inavyoonekana...

 

9 years ago

Vijimambo

Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Coat of Arms
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600               
               20 KIVUKONI FRONT,                           P.O. BOX 9000,                  11466 DAR ES SALAAM,                                      Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani