AJALI YA GARI ILIYOTOKEA HIVI SASA KWENYE KIPITA SHOTO CHA SAMORA NA AZIKIWE JIJINI DAR
Kondakta (ambaye jina lake halikufahamika - kulia) wa Basi UDA lenye namba za usajili T 558 CVP akizungumza na mmoja wa abiria na kumuomba asubiri ili awapandishe kwenye gari nyingine la kampuni hiyo, baada ya gari hilo kugonga gari ndogo lenye namba za usajili wa T 498 DCU katika kipita shoto cha Samora na Azikiwe, jijini Dar es salaam leo.
Askari wa Usalama Barabarani wakiwa katika eneo la tukio
Askari wa Usalama Barabarani katikati akiongea na Dereva wa UDA.
Gari ndogo inavyoonekana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU



11 years ago
Michuzi
HIKI NDIO KIPITA SHOTO BABKUBWA KUPITA VYOTE JIJINI DAR

11 years ago
Michuzi31 Jan
11 years ago
MichuziDALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA,MJINI MOSHI LEO
11 years ago
Michuzi
AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR



11 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI

Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
11 years ago
GPL
AJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR