Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YA GARI ILIYOTOKEA HIVI SASA KWENYE KIPITA SHOTO CHA SAMORA NA AZIKIWE JIJINI DAR

Kondakta (ambaye jina lake halikufahamika - kulia) wa Basi  UDA  lenye namba za usajili T 558 CVP akizungumza na mmoja wa abiria na kumuomba asubiri ili awapandishe kwenye gari nyingine la kampuni hiyo, baada ya gari hilo kugonga gari ndogo lenye namba za usajili wa T 498 DCU katika kipita shoto cha Samora na Azikiwe, jijini Dar es salaam leo. Askari wa Usalama Barabarani wakiwa katika eneo la tukio Askari wa Usalama Barabarani katikati akiongea na Dereva wa UDA. Gari ndogo inavyoonekana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU

 Watu zaidi ya kumi wamepoteza maisha kwenye ajali ya Daladala inayofanya safari zake kati ya Ubungo - Tegeta jijini Dar mchana huu,baada ya kushindwa maarifa ya kiudereva kwa Dereva wa daladala hilo hali iliyompelekea dereva huyo kuhama mpaka upande wa pili wa barabara na kulivaa lori kwa nyuma.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa kuwa ni mwendo kasi.  Hili ndilo lori lililokuwa likipita katika upande huo wa Barabara na kufatwa na daladala hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

HIKI NDIO KIPITA SHOTO BABKUBWA KUPITA VYOTE JIJINI DAR

Libeneke la Glogu ya jamii bado linaendelea kukuletea Kipita shoto bora na Babkubwa kupita vyote ndani ya jiji la Dar,kilichopo katika barabara ya Jamhuri mbele kabisa ya Makao Makuu ya Benki ya NMB.kuna fununu kwamba,kipita shoto hiki kinaweza kuwa ndio kipita shoto bora kabisa katika isti afrika mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

DALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA,MJINI MOSHI LEO

Gari aina ya Toyota Hiace linalofanya safari yake kati ya KCMC na katikati ya mji wa Moshi likiwa katika bustani ya mzunguko wa YMCA baada ya kupitiliza toka barabarani. Sehemu ya uharibifu uliofanyika baada ya gari hilo kufeli breki na kunyoosha moja kwa moja na kugonga kingo za keep left ya YMCA.Askari wa Kikosi cha usalama barabarani wakijaribu kuangalia maeneo yaliyoaharibika baada ya gari hilo kupita katika kipita shoto hicho.Fundi mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja...

 

11 years ago

Michuzi

AJALI ILIYOTOKEA ENEO LA MOROCO-POSTA LEO JIJINI DAR

Majeruhi akipewa huduma ya kwanza na mmoja wa akina mama aliyekuwa akifanya usafi kando kando ya barabara mapema leo asubuhi,katika ajali hiyo hakuna aliyepoteza maisha. 
Baadhi ya Watu wakitazama ajali ya magari mawili kama yaonekanavyo pichani,iliyotokea mapema leo asubuhi eneo la Moroco-Posta jijini Dar,katika ajali hiyo ambayo chanzo chake hakikufahamika mara moja,mtu mmoja alijeruhiwa na kukimbizwa hospitali kwa huduma ya kwanza,hakuna aliyepoteza maisha. Mama ambaye jina lake...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mheshimiwa Fatma Mwasa kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 19 Agosti, 2014 katika Kijiji cha Mlogolo, Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora.
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR

Mwili wa mwanamke mmoja ambaye hakufahamika jina lake baada ya kukanyagwa na lori na kupoteza maisha. Msamalia mwema akiufunika mwili wa mwanamke huyo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani