HIKI NDIO KIPITA SHOTO BABKUBWA KUPITA VYOTE JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-8zd8Ellyedo/U2oJvMaZefI/AAAAAAAFgGM/v3h1GqO2DL8/s72-c/IMG_7129.jpg)
Libeneke la Glogu ya jamii bado linaendelea kukuletea Kipita shoto bora na Babkubwa kupita vyote ndani ya jiji la Dar,kilichopo katika barabara ya Jamhuri mbele kabisa ya Makao Makuu ya Benki ya NMB.kuna fununu kwamba,kipita shoto hiki kinaweza kuwa ndio kipita shoto bora kabisa katika isti afrika mashariki.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziAJALI YA GARI ILIYOTOKEA HIVI SASA KWENYE KIPITA SHOTO CHA SAMORA NA AZIKIWE JIJINI DAR
10 years ago
MichuziDALADALA YAPARAMIA KIPITA SHOTO CHA YMCA,MJINI MOSHI LEO
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq..
December 19 2015 warembo kutoka nchi zaidi ya 100 duniani walikutana Sanya China kwenye stage moja wakishiriki kugombea Taji la Miss World, bahati nzuri ikawa kwa watu wa Spain, mrembo wao Mireia Lalaguna Rozo akaibuka na ushindi wa Taji hilo. Stori ikafatia usiku wa December 20 2015 kutoka Las Vegas Marekani ambapo fainali za Miss Universe […]
The post Baada ya miaka 40 kupita, huyu ndio mrembo wa kwanza kuvaa Taji la Miss Iraq.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Cav2MC93POg/U7nWBrk43pI/AAAAAAAFvaU/R9h7PlixRPA/s72-c/8.jpg)
9 years ago
Bongo509 Nov
Hii ndio taasisi inayotoa huduma ya matibabu bure jijini Dar
![10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10995988_1437850883176131_1662728636697019795_n-300x194.jpg)
Taasisi ya Mkono wa Tumaini inayofanya kazi za kusaidia jamii kwa kutoa huduma za matibabu bure maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita, imeweza kuendelea la jukumu la kusaidia jamii ya watu wa Kinondoni hasa maeneo ya Kinondoni shamba na maeneo ya jirani kuwasaidia kupata unafuu kwa matibabu wale wasio na uwezo wa kumudu gharama za kuwaona madaktari.
Baadhi ya wananchi wa Kinondoni wakisubiri kupewa huduma na waataalam wa taasiso hiyo
Taasisi hiyo, inayofanya kazi...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hiki ndio kilichofanya Mo Music kupandishwa Mahakamani Dodoma leo..
2015 umekuwa mwaka mzuri kwa wasanii wengi underground kufanya vizuri sana, kwenye list kubwa ya wasanii hao anaingia pia mkali kutoka Mwanza, Mo Music ambaye kadondosha single nyingi zilizomfungulia njia vizuri kwenye game ya muziki. Kuna kitu kimeendelea upande wa pili na leo December 21 2015 Mo Music amepandishwa Mahakamani Dodoma leo, kuna tatizo ??!! […]
The post Hiki ndio kilichofanya Mo Music kupandishwa Mahakamani Dodoma leo.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sLe-rBBtCwY/VbFcGvU1uGI/AAAAAAAAHn8/OmlUm_v1lTM/s72-c/fuso.jpg)
KAMPENI YA " NDIO ! FUSO NI FAIDA " KWA MIKOA ZAIDI YA 11 KUANZA LEO TAREHE 24 JULY ,2015 ,JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-sLe-rBBtCwY/VbFcGvU1uGI/AAAAAAAAHn8/OmlUm_v1lTM/s640/fuso.jpg)
Diamond Motors Limited is the country’s leading automobile distributor and the sole distributor of Mitsubishi Fuso Truck and Bus Corporation (MFTBC) in Tanzania. They will once again be launching the campaign, Ndio! FusoniFaida where over a 26-day 11 region Test Drive andRoad Show in which they will be showcasing the FJ and launching the FZ; Fuso medium and heavy-duty truck which are suitable for the purpose of mining, agriculture, construction, logistics and...
10 years ago
Bongo Movies14 Apr
Hiki Ndio Chazo cha Wema Kufunguka Kuwa Uwezo Hana Wakupata Mtoto
Hivi juzi kati staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu aliandika kupitia ukursa wake mtandaoni akilelezea machungu aliyonayo kwa kutokuwa na uwezo wa kupata mtoto lakini yote kamuachia Mungu hii ni kutokana na watu kumuandama sana mtandaoni kuhusu swala hilo. Sakata zima lilianzia hapa.
Wema kupitia ukurasa wake mtandaoni alimpongeza staa mwenzake Hamisa Mobeto kwa kujifungua mtoto kwa kubandika picha hiyo hapo juu ana kuandika;
“They say u are nat yet a woman Until you experience...