Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hiki ndio kilichofanya Mo Music kupandishwa Mahakamani Dodoma leo..

2015 umekuwa mwaka mzuri kwa wasanii wengi underground kufanya vizuri sana, kwenye list  kubwa ya wasanii hao anaingia pia mkali kutoka Mwanza, Mo Music ambaye kadondosha single nyingi zilizomfungulia njia vizuri kwenye game ya muziki. Kuna kitu kimeendelea upande wa pili na leo December 21 2015 Mo Music amepandishwa Mahakamani Dodoma leo, kuna tatizo ??!! […]

The post Hiki ndio kilichofanya Mo Music kupandishwa Mahakamani Dodoma leo.. appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Polisi: Idris Sultan kupandishwa mahakamani kwa makosa ya mtandao kesho

Msemaji wa polisi nchini humo, David Misime ameiambia BBC kuwa upelelezi wa makosa ya kimtandao huchukua muda lakini wapo tayari kwa kesho kumpeleka mahakamani.

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kinachoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM, Mjini Dodoma. Kikao hiki kinapitia majina yote 38 ya Watangaza nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM, ambapo majina matano yatapatikana baada ya kikao hiki.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM - Zanzibar, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM - Bara,...

 

11 years ago

Mwananchi

Bibi wa ‘unga’ kupandishwa kizimbani leo

Bibi, raia wa Nigeria, Olabisi Ibidun Cole (65) aliyevunja rekodi ya umri wa watu wanaokamatwa wakiwa na dawa za kulevya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), atafikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu kujibu mashtaka yanayomkabili.

 

10 years ago

GPL

MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA SHAMBULIO LA GARRISA KUPANDISHWA KIZIMBANI LEO

Mtanzania aliyekamatwa Kenya akishukiwa kuhusika na shambulio la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa wiki iliyopita Rashid Charles Mberesero. Mtanzania aliyekamatwa Kenya akishukiwa kuhusika na shambulio la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa wiki iliyopita lililosababisha vifo vya watu takribani 150 na wengine wengi kuachwa majeruhi, Rashid Charles Mberesero mwenye umri wa miaka 20 ni mwanafunzi wa kidato cha tano katika...

 

11 years ago

Michuzi

HIKI NDIO KIPITA SHOTO BABKUBWA KUPITA VYOTE JIJINI DAR

Libeneke la Glogu ya jamii bado linaendelea kukuletea Kipita shoto bora na Babkubwa kupita vyote ndani ya jiji la Dar,kilichopo katika barabara ya Jamhuri mbele kabisa ya Makao Makuu ya Benki ya NMB.kuna fununu kwamba,kipita shoto hiki kinaweza kuwa ndio kipita shoto bora kabisa katika isti afrika mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani