Polisi: Idris Sultan kupandishwa mahakamani kwa makosa ya mtandao kesho
Msemaji wa polisi nchini humo, David Misime ameiambia BBC kuwa upelelezi wa makosa ya kimtandao huchukua muda lakini wapo tayari kwa kesho kumpeleka mahakamani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili27 May
Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake
5 years ago
BBCSwahili21 May
Wakili: Idris Sultan anahojiwa kwa 'kuicheka picha ya rais Magufuli'
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LSb2ddFjlBU/XnTZf7_7FCI/AAAAAAALkjo/eZJvhJsGrQoGPnH79AOHpeGJauzyVkImgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.09.01%2BPM.jpeg)
MSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-LSb2ddFjlBU/XnTZf7_7FCI/AAAAAAALkjo/eZJvhJsGrQoGPnH79AOHpeGJauzyVkImgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.09.01%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fWvDVyJroWQ/XnTZfnnncQI/AAAAAAALkjk/1UM9tf6Wn5kjPoAsjOU8esVkdcEkrOB5gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-20%2Bat%2B5.49.40%2BPM.jpeg)
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
RAIS KIKWETE AWAPONGEZA DIAMOND NA IDRIS SULTAN KWA KUILETEA SIFA TANZANIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fblog.ikulu.go.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F12%2Funnamed-11.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fblog.ikulu.go.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2014%2F12%2Funnamed-41.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Michuzi25 Dec
JK AKUTANA NA MSANII NASSIB ABDUL ‘DIAMOND’ IKULU, AWAPONGEZA YEYE NA IDRIS SULTAN KWA KUILETEA SIFA TANZANIA
![unnamed-1](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-11.jpg)
![unnamed-4](http://blog.ikulu.go.tz/wp-content/uploads/2014/12/unnamed-41.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Dec
Rais Kikwete akutana na msanii Nassib Abdul ‘Diamond’ Ikulu, awapongeza yeye na Idris Sultan kwa kuiletea sifa Tanzania
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba 23, 2014 . Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, Mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan hakuweza kufika Ikulu kuonana na Rais Kikwete siku hii.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Nassib Abdul “Diamond” wakati akimuonesha moja ya tuzo kati ya tuzo tano za...
9 years ago
Bongo516 Nov
Idris Sultan: Mimi na Samantha tumeachana
![IdrisSamantha1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/IdrisSamantha1-300x194.jpg)
Idris Sultan na Samantha wa Afrika Kusini hawapo tena pamoja – kwa mujibu wa mshindi huyo wa Big Brother Africa 2014.
Akiongea Jumapili, November 15 kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, Idris alithibitisha kuwa uhusiano wao umeshavunjika.
Samantha na Idris walikuwa wamefika mbali zaidi kwenye uhusiano wao kiasi cha mrembo huyo waliyefahamiana kwenye shindano hilo kuja Tanzania na kuishi na Idris kwa wiki kadhaa.
Idris akiwa na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist, Lil Ommy
“It’s...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GRcdb-x-Fsg/default.jpg)