KIJIWE HIKI CHA WASHABIKI WA TIMU YA WEKUNDU WA MSIMBAZI KIKO WAPI JIJINI DAR??
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cav2MC93POg/U7nWBrk43pI/AAAAAAAFvaU/R9h7PlixRPA/s72-c/8.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Kiwanda hiki cha saruji kiko Mbeya?
Hivi karibuni wakazi wa Jiji la Mbeya, wakiwamo wafanyabiashara wa saruji inayotengenezwa kwenye kiwanda kilichopo jijini hapa eneo la Songwe, wamefichua jambo ambalo wanasema linawakera kwa kipindi kirefu.
11 years ago
Michuzi21 Apr
SALAMU ZA MWISHO WA MSIMU TOKA KWA WEKUNDU WA MSIMBAZI
![](https://4.bp.blogspot.com/-IQg1X6KZyGA/U1T9oQc2KGI/AAAAAAABmcQ/9EhzMVb7mp4/s640/index.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UONGOZI wa Simba SC unapenda kuwashukuru wanachama na washabiki wake wote hapa nchini kutokana na mshikamano mkubwa waliounyesha wakati wa kuelekea kumalizika kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu.
Ingawa matokeo hayakuwa mazuri siku zote, lakini mapenzi ambayo washabiki walionyesha kwa klabu yao lilikuwa ni jambo la faraja kwa uongozi, benchi la ufundi pamoja na wachezaji.
Wachezaji wa Simba pia wameelezea kufurahishwa kwao na namna...
10 years ago
Vijimambo02 Nov
SARE YAENDELEA KUWATESA WEKUNDU WA MSIMBAZI, WADROO TENA LEO
![](http://api.ning.com/files/RqdQyZgpKtJrJT65-pmr0wpAYfyIYJwm5r*xY03keNu7C0YdPzxMtt8DDX5dCIHQrPCAzHmk1wvm54JbwBZKZbnPoZMKBLbp/AWADHNANDITI.jpg?width=650)
Ushindi huo, unawafanya Mtibwa wafikishe pointi 14 kileleni mwa ligi hiyo, wakati Simba SC imefikisha pointi 6 leo
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa tayari inaongoza kwa bao 1-0, lililotiwa kimiani na beki wa kimataifa wa Uganda, Joseph Owino dakika ya 35 kwa kichwa akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na Emmanuel...
10 years ago
CloudsFM31 Oct
MTANGAZAJI MKONGWE WA TBC, BEN KIKO AFARIKI DUNIA JIJINI DAR
ALIYEKUWA mtangazaji maarufu wa Radio Tanzania, Ben Kiko, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 31, 2014 akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa akitibiwa.
Kiko amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya figo kwa muda mrefu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tlWNGW4V0LU/VO-RgSusDWI/AAAAAAAHGKk/Dehs9owUkH4/s72-c/DSC_0029.jpg)
10 years ago
GPLMVUA YASABABISHA AJALI MSIMBAZI CENTRE JIJINI DAR LEO
Watu wakishuhudia gari lililogongwa. Toyota Prado lililogonga gari dogo likishuhudiwa na wananchi.
Sehemu ya…
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FZPi6_H0k-Y/VoK3_dSod7I/AAAAAAAIPRE/mMOCn7DEA3c/s72-c/1673c53e-98a0-4652-ada7-18fb3420efc8.jpg)
bomoabomoa ya hiyari yaendelea bonde la msimbazi jijini Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-FZPi6_H0k-Y/VoK3_dSod7I/AAAAAAAIPRE/mMOCn7DEA3c/s640/1673c53e-98a0-4652-ada7-18fb3420efc8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fneG2hTUpuM/VoK3-taX8qI/AAAAAAAIPRA/XDyc0zzI_oc/s640/134830ec-3bb9-4f35-aee3-069a4b4c66f4.jpg)
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WASHABIKI WA TIMU YA SIMBA WAPATA AJALI MKOANI MOROGORO LEO, NANE WAPOTEZA MAISHA
Ajali mbaya imetokea leo maeneo ya Makunganya, Barabara kuu ya kutoka Morogoro kwenye Dodoma baada ya gari iliyokuwa imewabeba washabiki wa Timu ya Simba Sports Club kupoteza muelekea na kuingia porini, watu nane wamepoteza maisa na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya.
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-H9Ayn9dSPME/UwUWipjOboI/AAAAAAAFOHo/brBP6XRwROs/s72-c/IMG_2116.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania