SALAMU ZA MWISHO WA MSIMU TOKA KWA WEKUNDU WA MSIMBAZI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UONGOZI wa Simba SC unapenda kuwashukuru wanachama na washabiki wake wote hapa nchini kutokana na mshikamano mkubwa waliounyesha wakati wa kuelekea kumalizika kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu.
Ingawa matokeo hayakuwa mazuri siku zote, lakini mapenzi ambayo washabiki walionyesha kwa klabu yao lilikuwa ni jambo la faraja kwa uongozi, benchi la ufundi pamoja na wachezaji.
Wachezaji wa Simba pia wameelezea kufurahishwa kwao na namna...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Nov
SARE YAENDELEA KUWATESA WEKUNDU WA MSIMBAZI, WADROO TENA LEO
![](http://api.ning.com/files/RqdQyZgpKtJrJT65-pmr0wpAYfyIYJwm5r*xY03keNu7C0YdPzxMtt8DDX5dCIHQrPCAzHmk1wvm54JbwBZKZbnPoZMKBLbp/AWADHNANDITI.jpg?width=650)
Ushindi huo, unawafanya Mtibwa wafikishe pointi 14 kileleni mwa ligi hiyo, wakati Simba SC imefikisha pointi 6 leo
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa tayari inaongoza kwa bao 1-0, lililotiwa kimiani na beki wa kimataifa wa Uganda, Joseph Owino dakika ya 35 kwa kichwa akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na Emmanuel...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Cav2MC93POg/U7nWBrk43pI/AAAAAAAFvaU/R9h7PlixRPA/s72-c/8.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA NRA KWA WAKAZI WA MKOA WA KIGOMA KWA AJALI YA BOTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GTGmXc-aIKk/VDzHJP0MM5I/AAAAAAAGqaM/MYXDdqkpEOc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es salaam NAIBU KATIBU MKUU TAIFA NA KATIBU MKUU WA BODI ya CHAMA CHA UJENZI WA TAIFA, NRA (NATIONAL RECONSTRUCTION ALLIANCE), Mhe HASSAN KISABYA ALMAS, ametoa pole kwa wananchi wa mkoa wa kigoma na Uongozi Mzima wa mkoa kwa msiba mzito uliowapata baada ya watu zaidi ya kumi kupoteza maisha kwa ajali ya boti.Ndugu Kisabya alisema, ajali ni jambo lisilotarajiwa na kuwataka ndugu jamaa na marafiki waliopoteza jamaa zao kuna na uvumilivu...
10 years ago
Michuzi25 Dec
salamu toka kwa FFU UGHAIBUNI THE NGOMA AFRIKA BAND
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/PP1xrHbhAcS3dV8aNX7bWIXesZTyYoj6oXRdIflPqQYxW3PHJSUmYzU_-RawAAjeuSDyurvAnr1vEXotxaFvIz_IkGOzWkIltQ5LEVnE52n8saShNxjI_2PGez8j6HljGl1AWxCt33R6BrhBvqx0EiMxjV-O-EsvJXVDtsvwXi3gU7laAAYA9Lp8VE7mUYIyG0D0AKL3DdF4Ipw65nc40a-tU2BJJV5Vufhqqzp4wkBkesleDKIJGphT20Lsd3RnoGa51EuTXEqRqsPowQtLszQyd0-Qn7infd5TsZ-_8XDTbwk6lTzPAOmzAu8Hi6bgwPI410wUdx9rQwY8Ds7m3ZCYiZDUT4V-rkfjEnF42m5i4Cs=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-GSFk-fxrig8%2FVJsDAAnEUjI%2FAAAAAAAArTk%2Fc7pQQ2m3N_Y%2Fs1600%2FCD%252B_%252BAnt-Corruption.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi28 Jul
Salamu za Eid Toka Kwa ATL Global Solutions (USA)
Pius WaricoyPresidentAllAfrika Travel and Logistics, llc
12925 Kitchen House Way
Germantown MD 20874
Phone: +1-202-386-6122 (Office) +1-240-552-4870 (Mobile)
Email: info@atlglobalsolutions.com
Website: http://atlglobalsolutions.com
Join Us: ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s72-c/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
salamu za pasaka toka globu ya jamii kwa wadau duniani kote
![](http://1.bp.blogspot.com/-R8KP3VnRFO4/U1PFml2wfOI/AAAAAAAFb_w/a5lB9NqeGUE/s1600/ff1a4e27479e4a42784d66661075498d.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8ytBJwsy2Ok/VHQTJwvc2DI/AAAAAAAGzRM/RR0jZgA4gJo/s72-c/D92A4464.jpg)
JK apokea salamu za kheri toka kwa Rais Barack Obama wa Marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-8ytBJwsy2Ok/VHQTJwvc2DI/AAAAAAAGzRM/RR0jZgA4gJo/s1600/D92A4464.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7G-mvVFzxAs/VHQTKkZ0ZzI/AAAAAAAGzRU/_M-vrGnuzf4/s1600/D92A4470.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d_GLeC0T-CY/VHQTkMT0JkI/AAAAAAAGzRw/zUlstuRFifY/s1600/jk1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3EUBa4wZ_h8/VHQUz1mfTCI/AAAAAAAGzS8/k9g1ciP7dG0/s1600/jk2.jpg)
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Hizi salamu za heri ya mwaka mpya toka kwa Nisha na Zamaradi zinatuhusu sote
Tukiwa tumebakiza siku chache tu kabla ya kumalizika kwa mwaka 2014. Mastaa hawa wawili toka tasnia ya filamu nchini wametoa salamu hizi za mwisho wa mwaka ambazo zinamhusu kila mtu. Ukitafakari vizuri na kuamua kufanyia kazi yaliyosema linaweza kuwa jambo la maana sana kwako.
Salma Jabu - Nisha
"Kila binaadam anaijua leo kesho haijui,tumebakisha siku chache inshaallah mwaka uishe,sijui km ntafika au sifiki. Kikubwa leo hii ambayo nimeiona naomba nichukue fursa hii kumuomba msamaha...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CwSV5j7r-ws/default.jpg)