Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MVUA YASABABISHA AJALI MSIMBAZI CENTRE JIJINI DAR LEO

Watu wakishuhudia gari lililogongwa. Toyota Prado lililogonga gari dogo likishuhudiwa na wananchi.
Sehemu ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ajali ya moto yasababisha maafa ukonga Kipunguni usiku wa kuamkia leo jijini Dar es salaam

Majirani wakiondoa vitu kwenye nyumba iliyoungua moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha watu sita kupoteza maisha huko Ukonga Kipunguni jijini Dar es salaam. Chini ni baadhi ya ndugu, jamaa na majirani wakiwa katika simanzi. Habari zaidi zitakuja baada ya kuthibitishwa na mamlaka husika.

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR

Dereva wa bodaboda na abiria wake wakipita katika njia iliyojaa maji. Maji yakitiririka kwa kasi katika katika mfereji mmoja uliopo Kijitonyama.…

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA

Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …

 

10 years ago

GPL

MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO

Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mafuriko hayo kutokea. Maji yakiwa yamefurika katika moja ya mtaa ya Jiji la Mwanza.…

 

10 years ago

GPL

MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI MWANZA

Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha jijini Mwanza. Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza  kwa saa tatu na kusababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo hasa sehemu za Mabatini na kusababisha nyumba nyingi kujaa maji. Mvua hiyo pia imesababisha hasara kubwa ya uharibifu wa mali huku…

 

10 years ago

GPL

DEREVA PIKIPIKI ANUSURIKA KIFO MSIMBAZI CENTRE, DAR

Umati wa watu ukiwa umelizunguka gari husika (halionekani). Gari lililogonga likiwa kituo cha petroli. KIJANA mmoja dereva wa pikipiki, ambaye jina lake halikufahamika,  leo amenusurika kufa katika ajali maeneo ya Msimbazi Center jijini Dar es Salaam  baada ya kugongwa na gari dogo. (Na Gabriel…

 

10 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WANANCHI DAR

Watembea kwa miguu wakipita kwa tabu eneo la Afrika-Sana. Magari pamoja na Bajaj zikionekana kupita kwa tabu eneo la Afrika-Sana Eneo la Bamaga…

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MWANANA ZA JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA YA LEO


Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road.
Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.
Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.
Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.
Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa...

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KURUNDIKANA KWA TAKA MWENGE,DAR

Takataka zikiwa zimejaa eneo la mtaro maeneo ya Mwenge. Baadhi ya takataka zilizozagaa katika maeneo kadhaa kwa kusombwa na maji ya mvua.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani