MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO
![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZIXe4nzqziBEiSVoTsbpjjNom1zGYAW9u72OL*LqmCjLFl*DHc6XL1YICV2LxdfYNx6czt7SRhzuG6ukteQb*r/IMG20141202WA0009.jpg?width=650)
Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mafuriko hayo kutokea. Maji yakiwa yamefurika katika moja ya mtaa ya Jiji la Mwanza.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MhI6wJOESxCTnr1QB5pgAaGr7ncX4lKf31DqJpMc2TTd8h*QXczQXclDHhZDIhDBXoJpAzL8U120XrcL8Q*VsPh/IMG20141201WA0004.jpg)
MVUA ILIYONYESHA BAGAMOYO YASABABISHA MAFURIKO
Hizi ni picha tofauti zikienesha taswira ya mvua iliyonyesha Bagamoyo alfajiri ya leo na kusababisha mafuriko. Hayo ni maji yaliyojaa stendi ya mabasi ya…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo78BQXgSTXc9cu5ODlXk6BR-AcEKHA4UemVAzD1FyTqyxV9nZyJ5q7GmewZdl8Q6GiWVo7JoIts*a7ZIb2sLXXW/IMG20150421WA0036.jpg?width=650)
MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO JIJINI MWANZA
Nyumba zikiwa zimezingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha jijini Mwanza. Mvua kubwa imenyesha jijini Mwanza kwa saa tatu na kusababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo ya jiji hilo hasa sehemu za Mabatini na kusababisha nyumba nyingi kujaa maji. Mvua hiyo pia imesababisha hasara kubwa ya uharibifu wa mali huku…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6A05RJELsOAxbXVC9xUGv1U*xaqHHvKuwkgqBF9nfrI0kUVLs5pxZZ0qN9176j0W66gnTg5Kp9glz7CcbAXJfqoKftpQv4Zm/MVUADAR9.jpg?width=650)
MADHARA YA MVUA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR
Magari yakipita katika madimbwi ya maji yaliyotokana na mvua kubwa ya maji iliyonyesha leo kwenye mitaa ya jiji la Dar es Salaam.…
10 years ago
VijimamboMVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.
Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.
Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika
Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
11 years ago
GPLMVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR
Dereva wa bodaboda na abiria wake wakipita katika njia iliyojaa maji. Maji yakitiririka kwa kasi katika katika mfereji mmoja uliopo Kijitonyama.…
10 years ago
GPLMVUA YASABABISHA AJALI MSIMBAZI CENTRE JIJINI DAR LEO
Watu wakishuhudia gari lililogongwa. Toyota Prado lililogonga gari dogo likishuhudiwa na wananchi.
Sehemu ya…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9Xwf8*BIwQl1J1v5-ygXWZFQm8NoahxBuluzMaHLpFkvX8ZcHxnBrwv4S92Z2gFYVFkWVGg2iLoxTnKUvAR4PE2q/IMG_0671.jpg?width=650)
MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA
Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--jKlLH1xww0/VjcLzW-us_I/AAAAAAAAHfs/sY3ZaeErRfk/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WATAABIKA NA MAFURIKO KUTOKANA NA MVUA INAYOENDELEA KUNYESHA.
![](http://2.bp.blogspot.com/--jKlLH1xww0/VjcLzW-us_I/AAAAAAAAHfs/sY3ZaeErRfk/s640/1.jpg)
Pichani ni mmoja wa wakazi wa Kilimahewa akitoa maji ndani ya nyumba yake kutokana na mvua iliyoanza kunyesha majira ya saa kumi na mbili alfajiri hii leo. Hadi tunaenda hewani (saa 10:30 asubuhi) Mvua hiyo inaendelea kumiminika mdogomdogo.
Picha na Loyce NhalukeMbali na Kilimahewa, Pia wakazi wa Mabatini Jijini Mwanza hukumbwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania