Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika
Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.
Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.
Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NJ-eRUdpatM/VWgCPDIevfI/AAAAAAAAQG0/tR6tt7uJPj0/s72-c/E86A8695%2B%2528800x533%2529.jpg)
MBUNGE LUCY OWENYA AKABIDHI JEZI KWA TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI YA LUCY OWENYA CUP 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-NJ-eRUdpatM/VWgCPDIevfI/AAAAAAAAQG0/tR6tt7uJPj0/s640/E86A8695%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ip9AA1RhbLY/VWgCcJ3CJGI/AAAAAAAAQHc/3NNnOvdOy4U/s640/E86A8708%2B%2528800x533%2529.jpg)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Mashindano ya Lucy Owenya Cup yazinduliwa jimbo la Moshi vijijini
Mbunge wa viti Maalumu mkoa wa Kilimanjaro, Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha kata 16 za jimbo hilo.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Mbunge Owenya akicheza ngoma katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup.
Baadhi ya timu zinazoshiriki mashindano hayo zikiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s72-c/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
KAMPUNI YA BONITE BOTTLERS YAMWAGA MSAADA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-z6F8rXaYlX4/VV2G0TabHII/AAAAAAAAPws/nIdMsdggPVE/s640/E86A8104%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khLW74G9fuw/VV2G4BAwvJI/AAAAAAAAPw4/Ut-WXgVb60w/s640/E86A8111%2B%2528800x533%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uBpcq1OpSsU/VOrIRcxaGoI/AAAAAAAHFWM/GqOwapM4bHU/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
JK awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
10 years ago
Mwananchi08 Apr
NYANZA: Waziri Kamani awafariji waathirika wa mafuriko
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OAyEwA4EGLI/VOnU-Nvt_ZI/AAAAAAAHFNQ/dwX9EabKaI0/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Rais Kikwete awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua mkubwa iliyoambatana na upepo mkali wiki iliyopita huko Chalinze,wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
Katika ziara hiyo Rais Kikwete ambaye alikuwa amefuatana na mkewe mama Salma Kikwete alikagua Shule ya msingi Chalinze, Ofisi ya CCM, na nyumba kadhaa za wanakijiji ambazo ziliharibiwa vibaya na mvua hizo na kujeruhi baadhi ya wanavijiji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MhI6wJOESxCTnr1QB5pgAaGr7ncX4lKf31DqJpMc2TTd8h*QXczQXclDHhZDIhDBXoJpAzL8U120XrcL8Q*VsPh/IMG20141201WA0004.jpg)
MVUA ILIYONYESHA BAGAMOYO YASABABISHA MAFURIKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZIXe4nzqziBEiSVoTsbpjjNom1zGYAW9u72OL*LqmCjLFl*DHc6XL1YICV2LxdfYNx6czt7SRhzuG6ukteQb*r/IMG20141202WA0009.jpg?width=650)
MVUA ILIYONYESHA JIJINI MWANZA YASABABISHA MAFURIKO