JK awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
![](http://2.bp.blogspot.com/-uBpcq1OpSsU/VOrIRcxaGoI/AAAAAAAHFWM/GqOwapM4bHU/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Na Freddy Maro Chalinze,Bagamoyo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua mkubwa iliyoambatana na upepo mkali wiki iliyopita huko Chalinze,wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani. Katika ziara hiyo Rais Kikwete ambaye alikuwa amefuatana na mkewe mama Salma Kikwete alikagua Shule ya msingi Chalinze, Ofisi ya CCM, na nyumba kadhaa za wanakijiji ambazo ziliharibiwa vibaya na mvua hizo na kujeruhi baadhi ya wanavijiji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OAyEwA4EGLI/VOnU-Nvt_ZI/AAAAAAAHFNQ/dwX9EabKaI0/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Rais Kikwete awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua mkubwa iliyoambatana na upepo mkali wiki iliyopita huko Chalinze,wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
Katika ziara hiyo Rais Kikwete ambaye alikuwa amefuatana na mkewe mama Salma Kikwete alikagua Shule ya msingi Chalinze, Ofisi ya CCM, na nyumba kadhaa za wanakijiji ambazo ziliharibiwa vibaya na mvua hizo na kujeruhi baadhi ya wanavijiji...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AWAFARIJI WAHANGA WA DHORUBA CHALINZE
Na Freddy Maro Chalinze,Bagamoyo.
Jumamosi 21,February, 2015.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua...
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika
Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PAz97aEjRUk/VOmqdss3pXI/AAAAAAAHFKM/wm4iniRsgsw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
10 years ago
Mwananchi08 Apr
NYANZA: Waziri Kamani awafariji waathirika wa mafuriko
10 years ago
MichuziMTEMVU ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MVUA TEMEKE
10 years ago
Habarileo06 Mar
Pinda aahidi misaada waathirika wa mvua
WAKATI Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili mjini hapa kwa ajili ya kujionea maafa yaliyosababishwa na mvua kubwa ya mawe katika kijiji cha Mwakata kata ya Isaka wilaya ya Kahama, idadi ya watu waliokufa imeongezeka na kufikia 42 na idadi ya majeruhi ni 98.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DaU8sWUloXE/VPild6MkKKI/AAAAAAAHH6c/Rdj23Ho-WXE/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
MHE. PINDA ATEMBELEA WAATHIRIKA WA MAAFA YA MVUA SHINYANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-DaU8sWUloXE/VPild6MkKKI/AAAAAAAHH6c/Rdj23Ho-WXE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-kPZUja69O2M/VPilefsKSFI/AAAAAAAHH6k/t7rPaCkQSs0/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
11 years ago
Habarileo22 Feb
Milioni 100/- zahitajika Lindi kwa waathirika wa mvua, upepo
JUMLA ya Sh milioni 100 zinahitajika kufanya ukarabati wa shule za msingi, sekondari na zahanati wilayani Kilwa mkoani Lindi zilizoezuliwa bati na majengo kuharibiwa kutokana na mvua kali zilizoambatana na upepo mwezi huu.