RAIS KIKWETE AWAFARIJI WAHANGA WA DHORUBA CHALINZE
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakiwasili kwa helikopta katika kata ya Chalinze wakitokea jijini Dar es Salaam jana, kukagua uharibifu ulioletwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali na kuharibu makazi ya watu na kujeruhi ambapo kaya 47 zikiathirika katika vijiji vya Msoga na Tonga
Na Freddy Maro Chalinze,Bagamoyo.
Jumamosi 21,February, 2015.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OAyEwA4EGLI/VOnU-Nvt_ZI/AAAAAAAHFNQ/dwX9EabKaI0/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Rais Kikwete awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua mkubwa iliyoambatana na upepo mkali wiki iliyopita huko Chalinze,wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
Katika ziara hiyo Rais Kikwete ambaye alikuwa amefuatana na mkewe mama Salma Kikwete alikagua Shule ya msingi Chalinze, Ofisi ya CCM, na nyumba kadhaa za wanakijiji ambazo ziliharibiwa vibaya na mvua hizo na kujeruhi baadhi ya wanavijiji...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uBpcq1OpSsU/VOrIRcxaGoI/AAAAAAAHFWM/GqOwapM4bHU/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
JK awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1k12ktXXbhjdqbwIrIFnMCsI80gv8Av4rlKwiYYte7***9bVl6IlAqJHFDejWbq9s-2dlZZoJtUJ*yfoxxY52d/1crdb4.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA HUNDI YA SH. MILIONI 100 KUTOKA CRDB KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO MORO
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ashiriki zoezi la usafi soko kuu la Chalinze
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Welle Ndikilo wakielekea soko kuu la Chalinze kushirikiana na wananchi kufanya usafi wa mazingira leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BZzw0B3S3Vw/ViYGfofLaeI/AAAAAAAIBFM/e9uwv28Ux7A/s72-c/116.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR AWAFARIJI BAADHI YA MAJERUHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BZzw0B3S3Vw/ViYGfofLaeI/AAAAAAAIBFM/e9uwv28Ux7A/s640/116.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wYFzwMsqiUM/ViYGhWnRBTI/AAAAAAAIBFc/UAd1PrD86R8/s640/139.jpg)
MAJERUHI 10 wanaendelea kupatiwa huduma za matibabu katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s72-c/tff-1.jpg)
RAIS TFF ATUMA SALAMU ZA POLE KWA WAHANGA WA MAFURIKO
![](http://3.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9k/acUmAKJb1vs/s320/tff-1.jpg)
Katika salam zake kupitia kwa Mkuu wa Mkoa Dar es salaam, Mecky Sadik, Malinzi amesema familia zimepoteza makazi, miundombinu ya usafiri na michezo imeharibika na hata kuwa katika hali ya kutotumika, wanawake watoto, familia, shughuli za kiuchumi na kimichezo...