Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua kazi ya kuondoa maji ya mafuriko kutoka katika nyumba za watu katika eneo la Buruguruni Mnyamani wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam leo wakati Rais na Mkewe Mama Salma Kikwete na viongozi mbalimbali walipotembelea eneo hili kujionea athari za mafuriko na kuwafariji wananchi.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa wakazi wa Buguruni Mnyamani Bi.Halima Hamza ambaye nyumba yake imeathiriwa vibaya na maji ya mafuriko wakati Rais na Mkewe Mama...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete akagua waathirika wa Mafuriko Buguruni jijini dar leo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mack Sadik akimuonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mfereji ulioziba kutokana na uchafu na kusababisha mafuriko katika makazi ya watu eneo la Buguruni Mnyamani jijini Dar es Salaam leo.Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipita katika mitaa mbalimbali ya Buguruni leo wakati wa zoezi la kuwafariji waathirika wa mafuriko huko Buguruni Mnyamani leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia mtoto Irene ambaye nyumba yao imeathiriwa na mafuriko huko Buguruni...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA ENEO LA BUGURUNI KWA MNYAMANI LILILOATHIRIKA NA MAFURIKO


Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsikiliza mkandalasi wa ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji machafu wakati alipotembelea eneo la Buguruni kwa Mnyamani leo Machi 23, 2015 kwa ajili ya kukagua maeneo yaliyoathirika kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendele kunyesha jijini Dar es Salaam.  Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsikiliza mkandalasi wa ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji machafu wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AWAFARIJI WAHANGA WA DHORUBA CHALINZE

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakiwasili kwa helikopta katika kata ya Chalinze wakitokea jijini Dar es Salaam jana, kukagua uharibifu ulioletwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali na kuharibu makazi ya watu na kujeruhi ambapo kaya 47 zikiathirika katika vijiji vya Msoga na Tonga
Na Freddy Maro Chalinze,Bagamoyo.
Jumamosi 21,February, 2015.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete awafariji waathirika wa mvua ya dhoruba Chalinze

Na Freddy Maro Chalinze,Bagamoyo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jana aliwafariji na kuahidi kuzisaidia kaya 40 ambazo nyumba zao ziliharibiwa vibaya na mvua mkubwa iliyoambatana na upepo mkali wiki iliyopita huko Chalinze,wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani.
Katika ziara hiyo Rais Kikwete ambaye alikuwa amefuatana na mkewe mama Salma Kikwete alikagua Shule ya msingi Chalinze, Ofisi ya CCM, na nyumba kadhaa za wanakijiji ambazo ziliharibiwa vibaya na mvua hizo na kujeruhi baadhi ya wanavijiji...

 

10 years ago

Habarileo

NMB yasaidia waliokumbwa na mafuriko

BENKI ya NMB, imetoa msaada wa vitu mbalimbali vinavyogharimu kiasi cha Sh milioni 10 kwa ajili ya kuwasaidia wakazi wa jimbo la Msalala, katika wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea hivi karibuni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Kamanda wa Vijana Makangira Msasani awatembelea waliokumbwa na mafuriko Bonde la mpunga

IMG-20150507-WA0108

Kamanda wa Vijana Tawi la Makangira-Msasani, jijini Dar es Salaam, Yusuph Nassoro (kushoto) akiwa na mkazi wa eneo hilo wakati alipotembelea kwenye mfereji mkubwa uliojengwa kwa ajili ya kupitisha maji machafu kuelekea baharini.  mfereji huo umekuwa msaada mkubwa  kutokana na maji yake mengi  kuelekea baharini tofauti na awali yaliyokuwayakisababisha mafuriko makubwa katika eneo la Bonde la mpunga.

Na Mwandishi  Wetu

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na kusababisha...

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Waziri Kamani awafariji waathirika wa mafuriko

>Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge wa Busega, Dk Titus Kamani amewatembelea waathirika wa mafuriko katika Kijiji cha Lamadi na kushuhudia hali halisi ya maafa hayo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika

E86A6621

Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.

Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.

 

Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda cha TPC ili kuruhusu maji kupita. Mbunge Lucy Owenya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani