Kamanda wa Vijana Makangira Msasani awatembelea waliokumbwa na mafuriko Bonde la mpunga
Kamanda wa Vijana Tawi la Makangira-Msasani, jijini Dar es Salaam, Yusuph Nassoro (kushoto) akiwa na mkazi wa eneo hilo wakati alipotembelea kwenye mfereji mkubwa uliojengwa kwa ajili ya kupitisha maji machafu kuelekea baharini. mfereji huo umekuwa msaada mkubwa kutokana na maji yake mengi kuelekea baharini tofauti na awali yaliyokuwayakisababisha mafuriko makubwa katika eneo la Bonde la mpunga.
Na Mwandishi Wetu
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na kusababisha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMSASANI BONDE LA MPUNGA DAR YATISHA KWA UCHAFU
10 years ago
Habarileo13 Mar
NMB yasaidia waliokumbwa na mafuriko
BENKI ya NMB, imetoa msaada wa vitu mbalimbali vinavyogharimu kiasi cha Sh milioni 10 kwa ajili ya kuwasaidia wakazi wa jimbo la Msalala, katika wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea hivi karibuni.
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SeliBxGnXlM/Xqq1XyZAnGI/AAAAAAALopM/byoIjNVhOjUAr0gC_ClFtjvIiW9VO7MMQCLcBGAsYHQ/s72-c/d9f1640e-fa3e-4477-a26b-6e2d6166a198%2B%25281%2529.jpg)
RC MAKONDA ATOA MSAADA WA MABATI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 476 KWAAJILI YA KUEZEKA NYUMBA 1,000 ZA WAJANE WALIOKUMBWA NA ADHA YA MAFURIKO DAR.
RC Makonda amesema hayo wakati wa Ziara ya Kukagua athari za Mvua na kubaini uwepo wa familia za Wajane ambao Nyumba zao zimechukuliwa na Mafuriko na sasa wanapitia changamoto ya...
5 years ago
MichuziBODI YA MAJI BONDE LA KATI YAWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI KUFUATIA MAFURIKO KWENYE MAZIWA YA KINDAI, MUNANG NA SINGIDANI
10 years ago
GPLWAKAZI WA MSASANI WASAFISHA UFUKWE WA MSASANI
10 years ago
MichuziMWIGULU AMSIMIKA SALIM ASAS KUWA KAMANDA WA VIJANA RINGA
MFANYABIASHARA maarufu mkoani Iringa Salim Abri Asas akisimikwa kuwa Kamanda wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa katika kipindi cha miaka mingine mitano na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara Mwigulu Nchemba katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa Mwembetogwa, mjini Iringa.
11 years ago
Dewji Blog15 May
Kamanda wa UVCCM kata ya Kindai akabidhi vifaa vya michezo kwa vijana
Kamanda wa (UVCCM) Kata ya Kindai, Omary Kinyeto (kushoto) akimkabidhi vifaa kwa Manahodha wa timu za soka ya Mperani Fc, Mahembe Fc, Munangi Boys na Kindai Boys wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa kwa timu nne kwenye ofisi ya CCM ya Kata ya Kindai Manispaa Singida .
Kamanda wa (UVCCM) Kata ya Kindai, Omary Kinyeto akizungumza na vijana ofisi ya CCM Kata ya kindai Manispaa ya Singida.(PICHA ZOTE NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
VIJANA nchini wametakiwa kutambua kuwa...
11 years ago
GPLMAFURIKO YAZINGIRA BAA YA BEN KINYAIYA KINONDONI-VIJANA DAR