Kamanda wa UVCCM kata ya Kindai akabidhi vifaa vya michezo kwa vijana
Kamanda wa (UVCCM) Kata ya Kindai, Omary Kinyeto (kushoto) akimkabidhi vifaa kwa Manahodha wa timu za soka ya Mperani Fc, Mahembe Fc, Munangi Boys na Kindai Boys wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa kwa timu nne kwenye ofisi ya CCM ya Kata ya Kindai Manispaa Singida .
Kamanda wa (UVCCM) Kata ya Kindai, Omary Kinyeto akizungumza na vijana ofisi ya CCM Kata ya kindai Manispaa ya Singida.(PICHA ZOTE NA HILLARY SHOO).
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
VIJANA nchini wametakiwa kutambua kuwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAZIRI WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE ZA SEKONDARI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mperani FC yanyakua ubingwa wa Kamanda Cup kata ya Kindai Singida kwa kuitandika Munangi mabao 2-0 katika fainali
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa (UVCCM) Taifa kutoka Mkoa wa Singida, Rehema Sombi akimkabidhi Nahodha wa timu ya Soka ya Mperani Fc Maiko Manase Kombe la ubingwa pamoja fedha taslimu shilingi laki moja, Kamanda Cup Kata ya Kindai iliyoandaliwa na Kamanda wa UVCCM wa Kata hiyo Omary Kinyeto.
Na Hillary Shoo, Singida.
TIMU ya soka ya Mperani Fc ya Kata ya Kindai Manispaa ya Singida imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kamanda baada ya kuichapa timu ya Singida Munangi mabao 2-0.
Katika mchezo...
9 years ago
MichuziMkuu wa mkoa wa kilimanjaro akabidhi vifaa vya michezo kwa wafungwa wa gereza la karanga
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla amekabibidhi vifaa vya michezo ikiwemo jezi, mipira,nyavu za magoli na vikombe kwa ajili ya timu ya wafungwa na askari gereza la Karanga Moshi ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa hivi karibuni baada ya kufanya ziara gerezani hapo na kupokea maombi.
Katika hafla ya kukabidhi vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu na nusu aliwakumbusha wafungwa na mahabusu kuwa michezo hujenga umoja, michezo ni burudani, michezo ni kwa afya na zaidi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R8UhH3VgVMg/UuubFjAt3jI/AAAAAAAFJ7E/C-t4BmrIYQ8/s72-c/unnamed+(45).jpg)
Dkt. Fenella Mukangara akabidhi vifaa vya Michezo kwa Shule za Sekondari jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-R8UhH3VgVMg/UuubFjAt3jI/AAAAAAAFJ7E/C-t4BmrIYQ8/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DFL0ACzzCDs/UuubGXDw0KI/AAAAAAAFJ7M/GCdrcjBeWv8/s1600/unnamed+(44).jpg)
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KINONDONI CUP JIJINI DAR, AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Katibu wa Baseball Tanzania akabidhi vifaa vya michezo kwa timu ya taifa ya mchezo huo jijini Dar
Bw. Alferio Nchimbi Katibu wa Chama cha Mchezo wa Baseball na Softball Tanzania akikabidhi vifaa vya michezo kwa wachezaji wa timu ya mchezo huo ya Tanzania inayotarajia kuondoka kesho kuelekea nchini Uganda kwa ajili kambi ya mafunzo ya Meja League Base Ball Training Camp For Tryout (MLB) yatakayofanyika kuanzia tarehe 23-25 Agosti 2015 ambapo wachezaji watakaochaguliwa kutoka katika kambi hiyo watakwenda nchini Afrika Kusini kwa kwa mafunzo ya wiki mbili na baadaye wachezaji...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Makamu wa Rais akabidhi vifaa vya michezo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amekabidhi vifaa vya michezo kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-b6SUCIe2nTc/VSpoJQhWQ2I/AAAAAAABroo/vX23KLyS4_4/s72-c/0047.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO JIMBO LA UZINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6SUCIe2nTc/VSpoJQhWQ2I/AAAAAAABroo/vX23KLyS4_4/s1600/0047.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y6nm8Adq74g/VSpoTlWn6BI/AAAAAAABrow/ctCCQ7kleCk/s1600/0052.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-saebMpa6-aQ/VSppQHALR_I/AAAAAAABrpo/PAQd3q0MRSc/s1600/0190.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zjESsXZtf6U/VSpoqI2IIfI/AAAAAAABro4/uS7Gze9ySu4/s1600/0091.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138