RC MAKONDA ATOA MSAADA WA MABATI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 476 KWAAJILI YA KUEZEKA NYUMBA 1,000 ZA WAJANE WALIOKUMBWA NA ADHA YA MAFURIKO DAR.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SeliBxGnXlM/Xqq1XyZAnGI/AAAAAAALopM/byoIjNVhOjUAr0gC_ClFtjvIiW9VO7MMQCLcBGAsYHQ/s72-c/d9f1640e-fa3e-4477-a26b-6e2d6166a198%2B%25281%2529.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametoa msaada wa Mabati yenye Thamani ya shilingi Milioni 476 kwaajili ya Kuezeka Nyumba 1,000 za Wajane mkoani humo ambao nyumba zao zimeathiriwa na mafuriko yanayotokana na Mvua zinazoendelea kunyesha ambapo amewataka Wananchi waliojenga mabondeni kuondoka.
RC Makonda amesema hayo wakati wa Ziara ya Kukagua athari za Mvua na kubaini uwepo wa familia za Wajane ambao Nyumba zao zimechukuliwa na Mafuriko na sasa wanapitia changamoto ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
10 years ago
Bongo502 Mar
Mtangazaji wa Times FM aporwa iPhone 6 ya dhahabu yenye thamani ya shilingi milioni 3.8
5 years ago
MichuziNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 15 KWA SHULE TATU ZA SEKONDARI JIJINI DAR
Hafla ya kukabidhi msaada huo ilifanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kibamba, ambako Meneja wa NMB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd alimkabidhi msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Makori (aliyekuwa mgeni rasmi).
Alisema Kibamba Sekondari yenye...
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA MSAADA WA MABATI 60 UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VU_eQxL9jKg/Xky6h7K7zCI/AAAAAAALeLs/YP-9mUIycpsIcVx1gF4IsIGkdBpBByRBgCLcBGAsYHQ/s72-c/ds.jpg)
Waathirika wa mafuriko mkoani Lindi wapata msaada wa thamani wa Sh.Milioni 30
Taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya China inayofanya kazi nchini (Over Seas Chinese Services Center) imetoa msaada kwa Wananchi waliopata maafa ya mafuriko mkoani Lindi.
Msaada huo umekabidhiwa kwa Chama cha Msalaba Mwekwendu Tanzania Red Cross wenye thamani ya sh.milioni 30.Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa akikabidhi msaada huo Mkurugenzi wa Taasisi ya China Aston Yi amesema kuwa Tanzania ni China ni familia moja hivyo wanajibu wa kutoa msaada...
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA), YATOA MSAADA WA MADAWATI YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 10 KWA SHULE YA MSINGI YOMBO
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GV1sUJt3fTw/VVM2HzJdlsI/AAAAAAAHW_4/hTySQXsfQ44/s72-c/IMG_8451.jpg)
TTCL YATOA MSAADA WA KOMPUTA NA KIFURUSHI CHA INTERNET YENYE KASI YA 2MBPS VYENYE JUMLA YA SHILINGI MILIONI 20.169 KWA KITUO CHA GLOBAL OUTREACH TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GV1sUJt3fTw/VVM2HzJdlsI/AAAAAAAHW_4/hTySQXsfQ44/s640/IMG_8451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYmjox1BDmM/VVM2LHd9CHI/AAAAAAAHXAA/DR6Kqfgnt6Y/s640/IMG_8475.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4TRJND79VHU/VVM2ORFYzcI/AAAAAAAHXAI/tcivf9S_vo8/s640/IMG_8492.jpg)
9 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Mayweather anunua saa yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2
![1214-floyd-mayweather-tmz-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1214-floyd-mayweather-tmz-2-300x194.jpg)
Floyd Mayweather amefanya yake tena.. Bondia huyo bingwa wa kuchezea hela, amenunua saa ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 1.1 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 2.
Ameinunua saa hiyo kwenye safari yake ya Dubai.
Mwakilishi wake ameiambia TMZ: The watch is roughly $1.1 million. This is just one of his big purchases.”
Saa hiyo ni ya chapa ya Hublot ambayo imezungushiwa almasi.
Inasemekana kuwa Floyd ametumia zaidi ya dola milioni 1.5 katika siku mbili alizokaa Dubai.
Hii ni mara ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10