MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA), YATOA MSAADA WA MADAWATI YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 10 KWA SHULE YA MSINGI YOMBO
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleimkan Said Suleiman (katikati), akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati hayo. Kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Yombo, Christina Kasyupa na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Shule hiyo,Eva Mbena.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi Suleimkan Said Suleiman (katikati), akipeana mkono na dada mkuu wa shule hiyo, Celina Dismas baada ya kukabidhi madawati hayo. Kulia ni Mwalimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-g_C9s_MCI6s/ViqbPEc1XpI/AAAAAAAICLQ/igWvKGqQDZg/s72-c/001.jpg)
MKURUGENZI MKUU MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA) AHUDHURIA MAHAFALI YA 46 YA SHULE YA SEKONDARI PUGU
![](http://2.bp.blogspot.com/-g_C9s_MCI6s/ViqbPEc1XpI/AAAAAAAICLQ/igWvKGqQDZg/s640/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1kucixnPr-Y/ViqbPAnZNdI/AAAAAAAICLU/Cy0ivYMLBWw/s640/003.jpg)
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA) YAZUNGUMZIA MAFANIKIO NA MIRADI YAKE MBALIMBALI
10 years ago
Michuzi06 Mar
TTCL yatoa Msaada wa Madawati kwa Shule ya Msingi Bunena,Bukoba
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-WSN62WQqEUw%2FVPmPBPnOroI%2FAAAAAAAAaC4%2FWsv4tDvg8_M%2Fs1600%2F5.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Viongozi wa kampuni ya Ndege ya Fastjet watembelea Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA)
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi Suleiman S. Suleiman (katikati) akipokea zawadi ya sanamu ya ndege toka kwa Meneja Mkuu wa kampuni ya Ndege ya Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati baada ya viongozi wa kampuni hiyo kutembelea uongozi wa TAA na kufanya mazunguzmo mafupi hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Meneja wa mahusiano kati ya Fastjet na Serikali, Engineer August Kowero.
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, DKT. SHAABAN MWINJAKA AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA)
9 years ago
VijimamboBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati 200 kwa Shule ya Msingi Buyuni iliyopo ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Madawati hayo yametolewa na Benki ya CRDB ili kukabiliana na upungufu wa madawati shuleni hapo.
10 years ago
MichuziBenki ya NBC yatoa msaada wa madawati kwa Shule ya Msingi Mlingotini mjini Bagamoyo
9 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA MADAWATI 200 KWA SHULE YA MSINGI BUYUNI ILALA, DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bBmz2bJgF-g/U_XUQ7JAP7I/AAAAAAAGBKE/F3Xkq_odWzU/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Mamlaka ya Elimu Tanzania inatarajia kukabidhi madawati 2000 kwa shule za Msingi 10
![](http://2.bp.blogspot.com/-bBmz2bJgF-g/U_XUQ7JAP7I/AAAAAAAGBKE/F3Xkq_odWzU/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qPFqQEZKfG0/U_XUQhg7WBI/AAAAAAAGBKM/DrMZCM79aSA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)