Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSASANI BONDE LA MPUNGA DAR YATISHA KWA UCHAFU

Biashara inaendelea licha ya  kuwepo dimbwi lenye maji taka katika moja ya mitaa ya Msasani. Eneo hili limegeuka dampo kwa wakazi wa Bonde la Mpunga Msasani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kamanda wa Vijana Makangira Msasani awatembelea waliokumbwa na mafuriko Bonde la mpunga

IMG-20150507-WA0108

Kamanda wa Vijana Tawi la Makangira-Msasani, jijini Dar es Salaam, Yusuph Nassoro (kushoto) akiwa na mkazi wa eneo hilo wakati alipotembelea kwenye mfereji mkubwa uliojengwa kwa ajili ya kupitisha maji machafu kuelekea baharini.  mfereji huo umekuwa msaada mkubwa  kutokana na maji yake mengi  kuelekea baharini tofauti na awali yaliyokuwayakisababisha mafuriko makubwa katika eneo la Bonde la mpunga.

Na Mwandishi  Wetu

Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na kusababisha...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI YATISHA DAR LIVE

Mashabiki waliofurika ukumbini humo wakiserebuka.
Hadija Yusuf akiimba. Leila Yusuf naye akiimba.…

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA MSASANI WASAFISHA UFUKWE WA MSASANI

Baadhi ya wananchi wakifanya usafi katika fukwe ya Msasani.…

 

11 years ago

Michuzi

UP DATES: Mtoto aliepotea,apatikana maeneo ya Msasani jijini dar

Napenda kuwajulisha kwamba mtoto Faith amepatikana maeneo ya Msasani na ameshaungana na familia. Aliokotwa na Msamaria mwema ambaye nae alikuwa anafanya juhudi za kuitafuta familia yetu.
Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru sana sana kwa msaada wenu wa kurusha habari ile ya kupotea kwake. Lakini zaidi sana nawashukuru  jinsi mlivyotenda kwa haraka (act promptly) nilipotuma tu ujumbe.
Hii imeonyesha umuhimu wa mitandao hii na ni kweli ya wananchi na jamii. 
Asanteni sana na kila la heri.

 

9 years ago

Global Publishers

9 years ago

Global Publishers

Nyumba zilizopo kwenye Bonde la Mkwajuni, Dar zabomolewa

1.Tingatinga-likiwa-kazini-kuvunja-nyumba-hizo-zilizodaiwa-kuwa-ndani-ya-hifadhi-ya-barabara.

Wakazi waishio katika Bonde la Mkwajuni leo wamebomolewa nyumba zao ikiwa ni mwendelezo wa bomoabomoa inayoendelea katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Baadhi ya wananchi waliokubwa na kadhia hiyo wamepaza sauti zao juu ya kuvunjiwa nyumba zao huku wakilalamika kuwa hawakupewa taarifa yoyote ya kuwataka wahame eneo hilo kutoka uongozi wa serikali ya mtaa huo.

 

9 years ago

Michuzi

bomoabomoa ya hiyari yaendelea bonde la msimbazi jijini Dar es salaam

 Baadhi ya wananchi wakiwa wamesha bomoa nyumba zao zilizo katika Bonde la mto Msimbazi, mtaa wa Magomeni Sunna jijini Dar es salaam, kabla ya serikali kuanza kuzibomoa nyumba hizo ifikapo tarehe 5 januari 2016

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA MILIONI 10 ZA JAY MILLIONS AKABIDHIWA MPUNGA WAKE DAR LIVE

Jay Millions (kulia) akimkabidhi Shamila Ramadhani (kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 alizojishindia kupitia shindano la Jay Millions. Katikati ni mume wa Shamila. Mshindi wa milioni 10 za Jay Millions, Shamila Ramadhani na mumewe wakionesha mfano wa hundi ya fedha hizo. Jay Millions akipozi na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani