Rais Kikwete akagua waathirika wa Mafuriko Buguruni jijini dar leo
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mack Sadik akimuonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mfereji ulioziba kutokana na uchafu na kusababisha mafuriko katika makazi ya watu eneo la Buguruni Mnyamani jijini Dar es Salaam leo.
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakipita katika mitaa mbalimbali ya Buguruni leo wakati wa zoezi la kuwafariji waathirika wa mafuriko huko Buguruni Mnyamani leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia mtoto Irene ambaye nyumba yao imeathiriwa na mafuriko huko Buguruni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1W4CAiDvMk/default.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
11 years ago
GPL05 Feb
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMKARIBISHA RAIS WA UJERUMANI JOACHIM GAUCK ,IKULU JIJINI DAR LEO
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Rais Kikwete amkaribisha Rais wa Ujerumani Joachim Gauck, Ikulu Jijini Dar Leo
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha mgeni wake Ikulu Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck ambaye ameongozana na mke wake Bibi Schadt leo.
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete akimtambusha Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck kwa viongozi mbalimbali wa kitaifa waliojitokeza kumpekea leo tarehe.03.02.2015 katika viwanja vya Ikulu.
Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mgeni wake Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck wakipata mapokezi kwa kuimbwa kwa nyimbo za taifa za mataifa hayo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3NpjmwA*I6Uj1fHhr*khwyEESg0ZbAx0hEQqRHPG21T330M6TeXT3x6TCzdUXqQG7ABssrkzLlR17a8WiP74ZsK/c1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7DLKujc0Vsw/U10lDcQPYnI/AAAAAAAAios/6tbkQ56PWKA/s72-c/s+(1).jpg)
RAIS KIKWETE AONANA NA RAIS MSTAAFU WA NAMIBIA MHE. SAM NUJOMA,IKULU JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-7DLKujc0Vsw/U10lDcQPYnI/AAAAAAAAios/6tbkQ56PWKA/s1600/s+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b5fM11El7Qc/U10lCW4WjTI/AAAAAAAAiok/UFDuWNbptXo/s1600/s+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sRLNqleh0o0/U10lEFVnTlI/AAAAAAAAiow/QkgjxtJo6Y0/s1600/s+(3).jpg)