JK alipotembelea eneo la Buguruni kwa Mnyamani jijini dar es salaam lililokumbwa na mafuriko leo
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f1W4CAiDvMk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SDOhBQJIpcw/VRAJ6G_nfXI/AAAAAAADdeg/pZx_iFBKLEA/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATEMBELEA ENEO LA BUGURUNI KWA MNYAMANI LILILOATHIRIKA NA MAFURIKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SDOhBQJIpcw/VRAJ6G_nfXI/AAAAAAADdeg/pZx_iFBKLEA/s1600/2.jpg)
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaia, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimsikiliza mkandalasi wa ujenzi wa mtaro wa kupitishia maji machafu wakati alipotembelea eneo la Buguruni kwa Mnyamani leo Machi 23, 2015 kwa ajili ya kukagua maeneo yaliyoathirika kutokana na mafuriko ya mvua zinazoendele kunyesha jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-apZ2EZ35yRo/VRAJ6bI6xBI/AAAAAAADdec/I-7OGGikT4Y/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vqAt7eECNCU/VkSWDy-BPHI/AAAAAAAIFfU/PcZKyi-4lwc/s72-c/IMG_3974.jpg)
TASWIRA MBALIMBALI ENEO LA MAKAZI WATU MNYAMANI BUGURUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-vqAt7eECNCU/VkSWDy-BPHI/AAAAAAAIFfU/PcZKyi-4lwc/s640/IMG_3974.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PZxUxbxLPWw/VkSWDtTi0MI/AAAAAAAIFfQ/6td80EjWUMM/s640/IMG_4032.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_1BUSVadiEY/VkSWD7iXgZI/AAAAAAAIFfY/IpuKGPBsWHY/s640/IMG_4061.jpg)
10 years ago
MichuziRais Kikwete akagua waathirika wa Mafuriko Buguruni jijini dar leo
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/I7PwOIX-qRA/default.jpg)
9 years ago
VijimamboMAALIM SEIF AITEMBELEA NA KUIFARIJI FAMILIA ILIYOPOTEZA WATU TISA KATIKA AJALI YA MOTO BUGURUNI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zoaMf1osy30/UwO1c5g8RbI/AAAAAAAFN1Q/cbT1vwJG-ls/s72-c/unnamed+(49).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KUKAGUA NYUMBA ZINAZOJENGWA KWA AJILI YA WATUMISHI WA UMMA ENEO LA BUNJU B JIJINI DAR ES SALAAM
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba 851 zinazojengwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) huko Bunju B katika wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Waziri Magufuli ambaye aliambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Alhaj Eng. Mussa Iyombe, ametembelea eneo hilo ambalo tayari kuna nyumba 130 zinazoendelea kujengwa katika hatua mbali mbali.
Akionyesha kuridhishwa kwake, Waziri Magufuli ameipongeza...
11 years ago
MichuziWIZARA YA UCHUKUZI YAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA KWA KUFANYA USAFI NA KUPANDA MITI YA KUZUIA MMOMOMYOKO WA ARDHI KWENYE ENEO LA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2BFK65p4CAQ/VUzWjXGVg1I/AAAAAAAAsFE/wiIUkIaNqNk/s72-c/4%2B(1).jpg)
WATANO WATHIBIKA KUFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM KUTOKANA NA MAFURIKO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2BFK65p4CAQ/VUzWjXGVg1I/AAAAAAAAsFE/wiIUkIaNqNk/s400/4%2B(1).jpg)
1. Mnamo tarehe 06/05/2015 majira ya saa moja kamili usiku huko maeneo ya Magomeni Kinondoni jijini Dar es Salaam mtu mmoja jina SHABAN S/O IDD, Miaka 73, Mkazi wa Manzese alisombwa na maji ya mto...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania