Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANO WATHIBIKA KUFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM KUTOKANA NA MAFURIKO

Watu watano wameripotiwa kupoteza maisha jijini Dar es Salaam kutokana na athari za mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jiji. Mvua hizo zinazonyesha kwa siku tatu mfululizo zimesababisha vifo vya watanzania hawa katika maeneo tofauti ya jiji la Dar es Salaam kama ifuatavyo:
1.    Mnamo tarehe 06/05/2015 majira ya saa moja kamili usiku huko maeneo ya Magomeni Kinondoni jijini Dar es Salaam mtu mmoja jina SHABAN S/O IDD, Miaka 73, Mkazi wa Manzese alisombwa na maji ya mto...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

IDADI YA WALIOTHIBITISHWA KUFARIKI DUNIA KUTOKANA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM YAFIKIA WATU KUMI NA MBILI

Watu wapatao kumi na wawili wamethibitishwa kupoteza maisha jijini Dar es Salaam kutokana na athari za mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika jiji hilo. Idadi hii inatokana na taarifa ya awali ya Jeshi la Polisi kwa vyombo vya habari iliyotaja idadi ya waliopoteza maisha kuwa ni wanane (08). Hili ni ongezeko zaidi ya watu waanne (04). Watu walioripotiwa kuongezeka hadi sasa ni kama ifuatavyo:
1. Mnamo 09/05/2015 majira ya saa 12:00 katika bonde la mto Mkwajuni, mtaa wa Makuti,...

 

11 years ago

Michuzi

profesa mwandosya atoa taarifa ya mafuriko na ajali ya helikopta jijini Dar es salaam bungeni

Profesa Mark  Mwandosya, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asiye na Wizara maalumu na mbunge wa bunge maalum la katiba akitoa taarifa ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua inayonyesha katika Jiji la Dar es Salaam, na ajali ya Helikopta iliyotokea uwanja wa ndege wa kimaraifa wa Julius Nyerere  iliyokuwa imewabeba baadhi ya viongozi wa Serikali akiwemo waziri wa Ujenzi Mhe.John Pombe Magufuli ambapo wote walinusurika.

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM


Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA MWAKILISHI MKAZI WA BENKI YA DUNIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli akisalimiana na mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird alipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli akizungumza na mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird Ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli akiagana  na mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

 

11 years ago

Michuzi

Just in: Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga afariki dunia jijini Dar es salaam leo

Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Flossy Gomile-Chidyaonga  (pichani) amefariki dunia leo jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda mfupi.

“Ni kwa masikitiko makubwa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (ya Malawi) unauarifu umma kufariki dunia kwa Balozi Flossy Gomile-Chidyaonga baada ya kuugua kwa muda mfupi jijini Dar es salaam mchana huu”, imesema taarifa iliyotolewa na msemaji wa Wizara hiyo Quent Kalichero.
“Tangu mwaka 2006 Marehemu Bi Flossy...

 

10 years ago

Michuzi

MKE WA MWANAHABARI WA KAMPUNI YA GUARDIAN NA NIPASHE, THOBIAS MWANAKATWE AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI JIJINI DAR ES SALAAM JANA

 Mke wa Thobias Mwanakatwe, Levina Michael Genda, enzi za uhai wake.Mwanahabari Thobias Mwanakatwe, \
akiwa na mke wake enzi za uhai wake.

Dotto Mwaibale
MWANAHABARI wa Kampuni ya The Guardian na Nipashe, Thobias Mwanakatwe, amepoteza mke wake baada ya kugongwa na gari eneo la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam jana usiku majira ya saa 2:30.
Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com. Mwanakatwe amesema kifo cha ghafla cha mke wake ni pigo kubwa kwake na familia...

 

10 years ago

Michuzi

HAJAT KIJAKAZI SALUM KYERULA AFARIKI DUNIA, MSIBA UPO MIKOCHENI VICTORIA JIJINI DAR ES SALAAM, KUZIKWA LEO MTONI KIJICHI


Mmoja wa waasisi na viongoizi wakongwe wa CCM Hajat Kijakazi Salum Kyerula amefairiki dunia  jijini Dar es salaam jana. Taratibu za mazishi  zinafanyika mikocheni eneo la Victoria karibu na Oil com pamoja na hospitali ya Kairuki,  jijini Dar es salaam. Swala ya maiti itafanyika hapo hapo Mikocheni sambamba na swala ya Ijumaa na baadaye  maziko yatafanyika Mtoni Kijichi, kwenye makaburi ya  njia panda ya Neruka.

WASIFU WA MAREHEMU

HAJAT KIJAKAZI SALUM KYELULA NA RATIBA YA MAZISHI


Hajat  KIJAKAZI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani