IDADI YA WALIOTHIBITISHWA KUFARIKI DUNIA KUTOKANA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM YAFIKIA WATU KUMI NA MBILI
Watu wapatao kumi na wawili wamethibitishwa kupoteza maisha jijini Dar es Salaam kutokana na athari za mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika jiji hilo. Idadi hii inatokana na taarifa ya awali ya Jeshi la Polisi kwa vyombo vya habari iliyotaja idadi ya waliopoteza maisha kuwa ni wanane (08). Hili ni ongezeko zaidi ya watu waanne (04). Watu walioripotiwa kuongezeka hadi sasa ni kama ifuatavyo:
1. Mnamo 09/05/2015 majira ya saa 12:00 katika bonde la mto Mkwajuni, mtaa wa Makuti,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWATANO WATHIBIKA KUFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM KUTOKANA NA MAFURIKO
1. Mnamo tarehe 06/05/2015 majira ya saa moja kamili usiku huko maeneo ya Magomeni Kinondoni jijini Dar es Salaam mtu mmoja jina SHABAN S/O IDD, Miaka 73, Mkazi wa Manzese alisombwa na maji ya mto...
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Idadi ya waliothibitishwa kuwa na corona Kenya yafikia 2,862 , wagonjwa wapya 95 wakiripotiwa kuambukizwa
5 years ago
MichuziIdadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.
Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Mafuriko Dar:Watu kumi wapoteza maisha
11 years ago
GPLIDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, idadi yafikia 270
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WATU KUMI WAFARIKI DUNIA NA WENGINE SABA KUJERUHIWA KATIKA AJALI YA GARI JIJINI MBEYA LEO
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
Coronavirus: Ramani inayoonesha idadi ya watu walioambukizwa na waliofariki kutokana na virusi vya corona duniani
11 years ago
Michuziprofesa mwandosya atoa taarifa ya mafuriko na ajali ya helikopta jijini Dar es salaam bungeni