IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14
![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW5YH9QNW1wVAH8x4P8SbZP0vwd7v1qdElJ6Rq2HL5kjXftCySHzmrftAMaZ8bGG4EAA1zbnSR3C8K-DzVTTRyq-/maporomoko.jpg)
Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKVGEO6gUxy1N*hxhq8iJut2xg5KNx8Bx4pjnismK0R8b-dlyX25*CMwCBsKnAUffGEXNZVaNUZkcvIy9c95S-b/mauajitunisia5.jpg)
IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, idadi yafikia 270
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7zCBaVxQNVk/VVDNVsIYf7I/AAAAAAAHWr4/3otHzTAGR0M/s72-c/unnamed.jpg)
IDADI YA WALIOTHIBITISHWA KUFARIKI DUNIA KUTOKANA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM YAFIKIA WATU KUMI NA MBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7zCBaVxQNVk/VVDNVsIYf7I/AAAAAAAHWr4/3otHzTAGR0M/s400/unnamed.jpg)
1. Mnamo 09/05/2015 majira ya saa 12:00 katika bonde la mto Mkwajuni, mtaa wa Makuti,...
11 years ago
Bongo524 Jul
Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba
11 years ago
Dewji Blog07 May
Waliopoteza maisha katika ajali Ikungi waombewa
Diwani wa kata ya Mungaa Matheo Alex akizungumza kwenye hafla ya sala kuwaombea watu waliopoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya summary aprili 28 mwaka huu.Sala hiyo maalum,imefanyika jana eneo ilikotokea ajali hiyo.
Mke wa marehemu mwenyekiti wa kijiji cha Utaho Paulo Hamisi (41) aliyefariki dunia kwa kugongwa na basi la Summry Aprili 28 mwaka huu.
![DSC08213](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC08213.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Mar
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96