Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14

Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133

Italia imeripoti ongezeko la vifo vitokanavyo na virusi vya corona kutoka 133 hadi 366, mamilioni walazimika kufuata taratibu mpya kuzuia maambukizi zaidi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani

Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23

Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, idadi yafikia 270

Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, wawili wapoteza maisha.

 

10 years ago

Michuzi

IDADI YA WALIOTHIBITISHWA KUFARIKI DUNIA KUTOKANA NA MAFURIKO JIJINI DAR ES SALAAM YAFIKIA WATU KUMI NA MBILI

Watu wapatao kumi na wawili wamethibitishwa kupoteza maisha jijini Dar es Salaam kutokana na athari za mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katika jiji hilo. Idadi hii inatokana na taarifa ya awali ya Jeshi la Polisi kwa vyombo vya habari iliyotaja idadi ya waliopoteza maisha kuwa ni wanane (08). Hili ni ongezeko zaidi ya watu waanne (04). Watu walioripotiwa kuongezeka hadi sasa ni kama ifuatavyo:
1. Mnamo 09/05/2015 majira ya saa 12:00 katika bonde la mto Mkwajuni, mtaa wa Makuti,...

 

11 years ago

Bongo5

Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba

Familia za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 wanasema simu za wapendwa wao zinapokelewa na wezi waliozichukuia kwenye eneo ilipoangakua ndege hiyo nchini Ukraine. Baadhi ya vitu vilivyosambaa baada ya ndege hiyo kudunguliwa na kuanguka Ndugu hao waliopiga simu za wapendwa wao, wameliambia gazeti moja la Uholanzi kuwa simu hizo zinapokelewa na […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Waliopoteza maisha katika ajali Ikungi waombewa

DSC08218

Diwani wa kata ya Mungaa Matheo Alex akizungumza kwenye hafla ya sala kuwaombea watu waliopoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya summary aprili 28 mwaka huu.Sala hiyo maalum,imefanyika jana eneo ilikotokea ajali hiyo.

DSC08209

Mke wa marehemu mwenyekiti wa kijiji cha Utaho Paulo Hamisi (41) aliyefariki dunia kwa kugongwa na basi la Summry Aprili 28 mwaka huu. DSC08213 Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Utaho tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi,waliohudhuria sala maalum ya kuwaombea ndugu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96

Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani