IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23
![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKVGEO6gUxy1N*hxhq8iJut2xg5KNx8Bx4pjnismK0R8b-dlyX25*CMwCBsKnAUffGEXNZVaNUZkcvIy9c95S-b/mauajitunisia5.jpg)
Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96
Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175
Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW5YH9QNW1wVAH8x4P8SbZP0vwd7v1qdElJ6Rq2HL5kjXftCySHzmrftAMaZ8bGG4EAA1zbnSR3C8K-DzVTTRyq-/maporomoko.jpg)
IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14
Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mataifa yashuku idadi ya waliofariki Mecca
Maafisa katika mataifa kadha wamesema zaidi ya watu 1,000 walifariki kwenye mkanyagano Mecca wakati wa kuhiji wiki iliyopita.
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300
Mamlaka ya Nepal inasema kuwa zaidi ya watu 3300 sasa wanasemekana kufariki katika tetemeko kubwa la ardhi siku ya jumamosi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdY0zYf7SowF31-PWm0*ljPWMmqjoYdk9L6ReWhJjg8HgBf08cBvLbGsfjh4EPo1ZtIwFuLA72ICHI0a3bvU2B8*/EBOLA.jpg?width=650)
IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350
Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo ina wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vy corona: Idadi ya vifo yafikia 100,276 Marekani
Trump alikuwa amesema kwamba virusi hivyo ni homa ya kawaida na kwamba ingeisha ifikiapo mwezi Aprili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania