IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350
![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdY0zYf7SowF31-PWm0*ljPWMmqjoYdk9L6ReWhJjg8HgBf08cBvLbGsfjh4EPo1ZtIwFuLA72ICHI0a3bvU2B8*/EBOLA.jpg?width=650)
Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Idadi ya waliokufa kwa Ebola yaongezeka
10 years ago
BBCSwahili12 Nov
Sierra L. kuwafidia waliokufa kwa Ebola
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV1Kn-Hvgcv5ui95TDYzrtjvyfOrBmlM2dTP5pITf-ro7MkfyVuqWUtgA9owYaRsFyMv*cTLARed1-jBp3AcZbyj/EBOLADEATH.jpg)
WHO: WALIOKUFA KWA EBOLA WAFIKIA 8,795
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Idadi ya waliokufa China yaongezeka
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKVGEO6gUxy1N*hxhq8iJut2xg5KNx8Bx4pjnismK0R8b-dlyX25*CMwCBsKnAUffGEXNZVaNUZkcvIy9c95S-b/mauajitunisia5.jpg)
IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12