Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96

Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175

Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.

 

10 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300

Mamlaka ya Nepal inasema kuwa zaidi ya watu 3300 sasa wanasemekana kufariki katika tetemeko kubwa la ardhi siku ya jumamosi

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23

Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…

 

10 years ago

Michuzi

IDADI YA WATU WALIOFARIKI DUNIA KWENYE TETEMEKO LA ARDHI NEPAL YAZIDI KUONGEZEKA

 Wanajeshi wa nchini Nepal wakiendelea kutafuta miili ya watu waliopoteza maisha katika tetemeko la ardhi  mjini Kathmand nchini Nepal. Baadhi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika 
katika tetemeko la ardhi  mjini Kathmand nchini Nepal.Kwa msaada wa mtandaoMAMLAKA ya nchini Nepal imesema kuwa zaidi ya watu 3300 wamesemekana kufairki dunia kutokana na Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea jumamosi katika mji wa Kathmandu nchini  humo.Waokoaji wanchi hiyo wamesema wanaendelea kuchunguza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mataifa yashuku idadi ya waliofariki Mecca

Maafisa katika mataifa kadha wamesema zaidi ya watu 1,000 walifariki kwenye mkanyagano Mecca wakati wa kuhiji wiki iliyopita.

 

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480

   Na.WAMJW,DodomaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini ambapo amesema kuwa kuna maambukizi mapya ya ugonjwa huo kwa watanzania 196 ambapo kati yao; kutoka Bara ni 174, Zanzibar 22 na kufanya jumla ya watu waliopata maambukizi kuwa ni 480.
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350

Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12

Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo ina wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa Kenya yafikia 535

Kenya yarekodi idadi kubwa ya walioambukizwa corona kwa siku

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani