IDADI YA WATU WALIOFARIKI DUNIA KWENYE TETEMEKO LA ARDHI NEPAL YAZIDI KUONGEZEKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MBWepqRiGa0/VT43vjPY-JI/AAAAAAAHTjo/bmg0KKHRxLo/s72-c/1.jpg)
Wanajeshi wa nchini Nepal wakiendelea kutafuta miili ya watu waliopoteza maisha katika tetemeko la ardhi mjini Kathmand nchini Nepal.
Baadhi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika
katika tetemeko la ardhi mjini Kathmand nchini Nepal.Kwa msaada wa mtandaoMAMLAKA ya nchini Nepal imesema kuwa zaidi ya watu 3300 wamesemekana kufairki dunia kutokana na Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea jumamosi katika mji wa Kathmandu nchini humo.Waokoaji wanchi hiyo wamesema wanaendelea kuchunguza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s72-c/9.jpg)
WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu0u45hyMeQ/VTz8BF4KVEI/AAAAAAABMok/16Z-feAYE5k/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-G0Humwl8ILA/VTz7-fccgeI/AAAAAAABMnw/51Irpc8KmUs/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EjaqjaCeOrE/VTz7-u87UlI/AAAAAAABMn4/k7Bx94Kr6Zw/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z2fxpwZuWF4/VTz7-nx_suI/AAAAAAABMn0/tJlHg4hTdIo/s1600/12.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RuhPWTGhGn8/XnRrmMbq5yI/AAAAAAALkf8/8_ZcHViZYeADyNorsg1cnvj671Ia70acQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv774f5f6ad141mcly_800C450.jpg)
Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na COVID-19 nchini Italia yazidi ile ya China
![](https://1.bp.blogspot.com/-RuhPWTGhGn8/XnRrmMbq5yI/AAAAAAALkf8/8_ZcHViZYeADyNorsg1cnvj671Ia70acQCLcBGAsYHQ/s640/4bv774f5f6ad141mcly_800C450.jpg)
Taarifa iliyotolewa na serikali ya Italia imesema kuwa kesi nyingine mpya za maambukizi ya watu 5322 pia zilisajiliwa katika masaa 24 yaliyopita nchini humo na kuongeza kuwa, hadi kufikia jana jioni watu 41,035 walikuwa wameambukizwa virusi vya corona.
Takwimu hizo za kufariki dunia watu 3,405 nchini Italia kutokana na virusi vya corona zinaonyesha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiL2SEa5P68oV85LSjbm-2tnUQJQPB77fOhZh29LcJJZqaPGpWqEofjKpNaakmt6g1S5lF4yPD2QOy5ReiSMGZY7/wananchi.jpg?width=650)
TETEMEKO LA ARDHI LAIKUMBA TENA NEPAL NA KUUA WATU WANNE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iad4jOhX0Z3kUrcMmYL*nsVfzQerIFc76aK4YCgqU6QfWMpZYOSjYZ1d8iZOQNay0oO0InFATgS32i9e26gzWVrXs6oupULH/EarthQuake.jpg?width=650)
WATU 560 WAUAWA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jVIBFOlVhUE/VTuzdzg4GkI/AAAAAAAHTP8/mGDaTKS0QYo/s72-c/27F9E8A300000578-3055045-image-a-20_1429959005077.jpg)
BREAKING NYUZZZZ...: ZAIDI YA WATU 900 WADAIWA KUPOTEZA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL
![](http://3.bp.blogspot.com/-jVIBFOlVhUE/VTuzdzg4GkI/AAAAAAAHTP8/mGDaTKS0QYo/s1600/27F9E8A300000578-3055045-image-a-20_1429959005077.jpg)
Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal.
Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81...
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Idadi ya vijana wanaoajiriwa yazidi kuongezeka