Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175
Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96
Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKVGEO6gUxy1N*hxhq8iJut2xg5KNx8Bx4pjnismK0R8b-dlyX25*CMwCBsKnAUffGEXNZVaNUZkcvIy9c95S-b/mauajitunisia5.jpg)
IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23
Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300
Mamlaka ya Nepal inasema kuwa zaidi ya watu 3300 sasa wanasemekana kufariki katika tetemeko kubwa la ardhi siku ya jumamosi
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Mataifa yashuku idadi ya waliofariki Mecca
Maafisa katika mataifa kadha wamesema zaidi ya watu 1,000 walifariki kwenye mkanyagano Mecca wakati wa kuhiji wiki iliyopita.
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo ina wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdY0zYf7SowF31-PWm0*ljPWMmqjoYdk9L6ReWhJjg8HgBf08cBvLbGsfjh4EPo1ZtIwFuLA72ICHI0a3bvU2B8*/EBOLA.jpg?width=650)
IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350
Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-umZ0N6gTKns/XpshtzY8_9I/AAAAAAAAnWA/D-xXYSAnI_83eiHLKUlk6Rvswbpjlw4EgCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
IDADI YA MAAMBUKIZO CORONA NCHINI MREKANI YAFIKIA LAKI SABA
![](https://1.bp.blogspot.com/-umZ0N6gTKns/XpshtzY8_9I/AAAAAAAAnWA/D-xXYSAnI_83eiHLKUlk6Rvswbpjlw4EgCLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25281%2529.jpg)
Idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imepindukia laki saba huku idadi ya wanaoaga dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 ikiongezeka kwa kasi nchini humo.
Takwimu za hivi punde zinaonyesha kuwa, watu 710,272 wameambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani huku 37,175 wakiaga dunia na kuifanya nchi hiyo kuwa ndio iliyoathiriwa zaidi na virusi hivyo duniani.
Italia inashika nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya watu walioaga dunia kwa virusi vya Corona ambapo hadi sasa watu 22,745...
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133
Italia imeripoti ongezeko la vifo vitokanavyo na virusi vya corona kutoka 133 hadi 366, mamilioni walazimika kufuata taratibu mpya kuzuia maambukizi zaidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania