Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175

Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96

Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23

Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliofariki Nepal yafika 3300

Mamlaka ya Nepal inasema kuwa zaidi ya watu 3300 sasa wanasemekana kufariki katika tetemeko kubwa la ardhi siku ya jumamosi

 

9 years ago

BBCSwahili

Mataifa yashuku idadi ya waliofariki Mecca

Maafisa katika mataifa kadha wamesema zaidi ya watu 1,000 walifariki kwenye mkanyagano Mecca wakati wa kuhiji wiki iliyopita.

 

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480

   Na.WAMJW,DodomaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini ambapo amesema kuwa kuna maambukizi mapya ya ugonjwa huo kwa watanzania 196 ambapo kati yao; kutoka Bara ni 174, Zanzibar 22 na kufanya jumla ya watu waliopata maambukizi kuwa ni 480.
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12

Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo ina wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350

Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.

 

5 years ago

CCM Blog

IDADI YA MAAMBUKIZO CORONA NCHINI MREKANI YAFIKIA LAKI SABA
















Idadi ya watu waliombukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imepindukia laki saba huku idadi ya wanaoaga dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 ikiongezeka kwa kasi nchini humo.











Takwimu za hivi punde zinaonyesha kuwa, watu 710,272 wameambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani huku 37,175 wakiaga dunia na kuifanya nchi hiyo kuwa ndio iliyoathiriwa zaidi na virusi hivyo duniani.
Italia inashika nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya watu walioaga dunia kwa virusi vya Corona ambapo hadi sasa watu 22,745...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133

Italia imeripoti ongezeko la vifo vitokanavyo na virusi vya corona kutoka 133 hadi 366, mamilioni walazimika kufuata taratibu mpya kuzuia maambukizi zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani