Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133
Italia imeripoti ongezeko la vifo vitokanavyo na virusi vya corona kutoka 133 hadi 366, mamilioni walazimika kufuata taratibu mpya kuzuia maambukizi zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW5YH9QNW1wVAH8x4P8SbZP0vwd7v1qdElJ6Rq2HL5kjXftCySHzmrftAMaZ8bGG4EAA1zbnSR3C8K-DzVTTRyq-/maporomoko.jpg)
IDADI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA KATIKA MAPOROMOKO MAREKANI YAFIKIA 14
Waokoaji wakitafuta watu waliopotea katika maporomoko. MAOFISA wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea siku ya Jumamosi. Hii imefikisha idadi ya watu waliofariki kutokana na maporomoko hayo hadi 14. Watu 176 bado hawajapatikana baada ya ukuta wa matope wenye urefu wa futi 177 kuporomoka karibu na mji wa Oso, Kaskazini mwa Seattle. Zoezi la uokoaji...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo ina wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda
Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.
10 years ago
BBCSwahili14 May
Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96
Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Idadi ya waliofariki Ghana yafikia 175
Takriban watu 175 wamefariki kufiakia sasa kufuatia moto uliotokea katika kituo kimoja cha mafuta katika mji mkuu wa Ghana Accra.
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyDgsXHkaUKVGEO6gUxy1N*hxhq8iJut2xg5KNx8Bx4pjnismK0R8b-dlyX25*CMwCBsKnAUffGEXNZVaNUZkcvIy9c95S-b/mauajitunisia5.jpg)
IDADI YA WALIOFARIKI KATIKA SHAMBULIO TUNISIA YAFIKIA 23
Miili ya baadhi ya watu waliopoteza maisha kwenye shambulio hilo ikifunikwa. IDADI ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Tunisia imeongezeka na kufikia 23.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdY0zYf7SowF31-PWm0*ljPWMmqjoYdk9L6ReWhJjg8HgBf08cBvLbGsfjh4EPo1ZtIwFuLA72ICHI0a3bvU2B8*/EBOLA.jpg?width=650)
IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350
Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa Kenya yafikia 535
Kenya yarekodi idadi kubwa ya walioambukizwa corona kwa siku
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania