IDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480
Na.WAMJW,DodomaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya mwenendo wa Ugonjwa wa Corona nchini ambapo amesema kuwa kuna maambukizi mapya ya ugonjwa huo kwa watanzania 196 ambapo kati yao; kutoka Bara ni 174, Zanzibar 22 na kufanya jumla ya watu waliopata maambukizi kuwa ni 480.
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c6XH8HGP27o/XqlqqjfervI/AAAAAAALojI/atf5yQFtcggpC7YHIkTDsmPyySzlzijMgCLcBGAsYHQ/s72-c/1600x960_123620-coronavirus-6.jpg.png)
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa Zanzibar yafikia saba
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Idadi ya waliothibitishwa kuwa na corona Kenya yafikia 2,862 , wagonjwa wapya 95 wakiripotiwa kuambukizwa
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553