Coronavirus: Idadi ya wagonjwa wa corana Tanzania yafikia 12
Rais wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kuwa nchi hiyo ina wagonjwa 12 wa ugonjwa wa corona
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WAGONJWA WA CORONA TANZANIA YAFIKIA 480
Aidha,Waziri Majaliwa amesema kuwa idadi ya wagonjwa waliopona imeongezeka kutoka 48 hadi kufikia 167, (Zanzibar wako 36, Bara ni 83).
Hali kadhalika vifo 6 vimetokea na...
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
Wagonjwa 10 wanatoka katika mji wa Nairobi, 9 wanatoka Mombasa, Kwale , Nakuru na Taita taveta kukiwa na mgonjwa mmojammoja.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
Mipaka isiolindwa sasa imetajwa kuwa miongoni mwa maeneo hatari katika maambukizi ya virusi vya corona kulingana na naibu waziri wa Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi.
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa Zanzibar yafikia saba
Mamlaka ya kisiwani Zanzibar, imetangaza kuwa na maambukizi mapya ya wagonjwa wawili wenye maambukizi ya corona.
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Idadi ya waliothibitishwa kuwa na corona Kenya yafikia 2,862 , wagonjwa wapya 95 wakiripotiwa kuambukizwa
Idadi ya wagonjwa wapya Kenya ni 95 huku watu 98,439 wakipimwa corona kufikia leo.
5 years ago
BBCSwahili30 Mar
Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa virusi vya corona yafikia 70 Rwanda
Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumapili na kufikia 70.
5 years ago
BBCSwahili09 Mar
Coronavirus: Idadi ya waliopoteza maisha yafikia 366, kutoka 133
Italia imeripoti ongezeko la vifo vitokanavyo na virusi vya corona kutoka 133 hadi 366, mamilioni walazimika kufuata taratibu mpya kuzuia maambukizi zaidi.
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo
Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania