Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idadi ya waliokufa kwa Ebola yaongezeka

Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Ebola imeongezeka maradufu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliokufa China yaongezeka

Idadi ya watu waliouawa kwenye milipuko mikubwa katika bandari ya Tinjian nchini China siku ya Jumatano imeongezeka hadi watu 85

 

10 years ago

GPL

IDADI YA WALIOKUFA KWA EBOLA YAFIKIA 1,350

Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone. Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti 17-18 mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji yaongezeka

 Idadi ya wajawazito wanaojifungua kwa njia ya upasuaji nchini imeongezeka kwa asilimia 31 katika kipindi cha miaka 11.

 

10 years ago

CloudsFM

Idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji yaongezeka

Idadi ya wajawazito wanaojifungua kwa njia ya upasuaji nchini imeongezeka kwa asilimia 31 katika kipindi cha miaka 11.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Agnes Mtawa alisema hayo jana katika kongamano lililohusu magonjwa ya wanawake.

Alisema takwimu hizo zinaonyesha kuwa mwaka 2000 waliojifungua kwa njia hiyo walikuwa ni asilimia 19, lakini ilipofika mwaka 2011 walifikia asilimia 50.

Alisema tafiti zinatakiwa kufanyika ili kubaini chanzo.

Mtawa alisema licha ya...

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - IDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya afya katika kituo cha Red Cross kinachotoa huduma za afya kwa wakimbizi walioko katika kambi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Shirika la Red Cross ni mojawapo ya wadau wanaoshirikiana na Serikali kutoa huduma za afya katika kambi ya Nyarugusu.Mkimbizi kutoka Burundi akipata huduma ya maji katika moja ya vituo vya maji vilivyojengwa katika Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu. Huduma za...

 

10 years ago

GPL

WHO: WALIOKUFA KWA EBOLA WAFIKIA 8,795

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetoa takwimu mpya za ugonjwa wa Ebola ambapo mpaka sasa watu 8,795 wamefariki huku 22,057 duniani kote wakiwa wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo. Katika takwimu hizo, nchi ya Sierra Leone ina jumla ya watu 10,518 wenye virusi vya Ebola, Liberia watu 8,622 na Guinea 2,917. Nchi nyingine ambazo maambukizi yake yapo chini ni Nigeria yenye maambukizi ya watu 20 huku vifo vya watu nane...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sierra L. kuwafidia waliokufa kwa Ebola

Serikali ya Sierra Leone imesema italipa fidia kwa familia ya kila mfanyakazi wa afya ambaye amefariki baada ya kuambukizwa Ebola

 

10 years ago

Habarileo

Idadi ya waliofia ziwani yaongezeka

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa MachibyaIDADI ya watu waliokufa katika ajali ya boti iliyotokea juzi katika Ziwa Tanganyika na wengine zaidi ya 70 kunusurika wakiwemo bwana na bibi harusi waliookolewa wakitoka kufunga ndoa, imeongezeka na kufikia kumi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wakimbizi yaongezeka duniani

Shirika la UNHCR, linasema idadi ya watu waliopoteza makao yao na kufanywa wakimbizi kutokana na vita ilipita milioni hamsini mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani