Idadi ya wakimbizi yaongezeka duniani
Shirika la UNHCR, linasema idadi ya watu waliopoteza makao yao na kufanywa wakimbizi kutokana na vita ilipita milioni hamsini mwaka jana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka
Wakimbizi kutoka nchini Burundi walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).
Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Idadi ya wakimbizi Kambi ya Nyarugusu yaongezeka
9 years ago
MichuziIDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU
9 years ago
VijimamboTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - IDADI YA WAKIMBIZI KUTOKA BURUNDI YAONGEZEKA KATIKA KAMBI YA NYARUGUSU
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Idadi ya wakimbizi duniani inatisha
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Idadi ya waliokufa China yaongezeka
10 years ago
Habarileo14 Oct
Idadi ya waliofia ziwani yaongezeka
IDADI ya watu waliokufa katika ajali ya boti iliyotokea juzi katika Ziwa Tanganyika na wengine zaidi ya 70 kunusurika wakiwemo bwana na bibi harusi waliookolewa wakitoka kufunga ndoa, imeongezeka na kufikia kumi.
11 years ago
BBCSwahili31 May
Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Idadi ya waliokufa kwa Ebola yaongezeka