Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya
Mamlaka nchini Libya imesema kuwa imeshindwa kudhibiti idadi ya wahamiaji wanaotaka kuingia Ulaya kwa kutumia mlango wa nyuma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Idadi ya waliokufa China yaongezeka
Idadi ya watu waliouawa kwenye milipuko mikubwa katika bandari ya Tinjian nchini China siku ya Jumatano imeongezeka hadi watu 85
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Idadi ya wakimbizi yaongezeka duniani
Shirika la UNHCR, linasema idadi ya watu waliopoteza makao yao na kufanywa wakimbizi kutokana na vita ilipita milioni hamsini mwaka jana.
10 years ago
Habarileo14 Oct
Idadi ya waliofia ziwani yaongezeka
IDADI ya watu waliokufa katika ajali ya boti iliyotokea juzi katika Ziwa Tanganyika na wengine zaidi ya 70 kunusurika wakiwemo bwana na bibi harusi waliookolewa wakitoka kufunga ndoa, imeongezeka na kufikia kumi.
9 years ago
MichuziIDADI YA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU YAONGEZEKA KINONDONI
Chalila Kibuda,Globu ya jamiiUGONJWA wa kipindupindu unazidi kusambaa katika manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi habari leo Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni,Aziz Msuya watu waliofariki katika manispaa hiyo watatu.Amesema idadi ya wagonjwa katika manispaa imezidi kuongezeka kutoka 34 hadi kufikia 43.
Amesema dalili za huo ni homa kali ,kuharisha pamoja na kutapika na kuongeza kuwa mtu akifikia dalili hizo awahi katika kituo cha afya.
Aidha amesema kujiepusha...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Idadi ya waliokufa kwa Ebola yaongezeka
Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Ebola imeongezeka maradufu
10 years ago
CloudsFM14 Jan
Idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji yaongezeka
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Agnes Mtawa alisema hayo jana katika kongamano lililohusu magonjwa ya wanawake.
Alisema takwimu hizo zinaonyesha kuwa mwaka 2000 waliojifungua kwa njia hiyo walikuwa ni asilimia 19, lakini ilipofika mwaka 2011 walifikia asilimia 50.
Alisema tafiti zinatakiwa kufanyika ili kubaini chanzo.
Mtawa alisema licha ya...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Idadi ya wakimbizi Kambi ya Nyarugusu yaongezeka
Idadi ya wakimbizi kutoka Burundi wanaokimbia nchi yao na kuingia nchini Tanzania imefikia 91,661 hadi kufikia jana Jumanne. Wakimbizi hao kwa sasa wamehifadhiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji yaongezeka
 Idadi ya wajawazito wanaojifungua kwa njia ya upasuaji nchini imeongezeka kwa asilimia 31 katika kipindi cha miaka 11.
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Idadi ya Watuhumiwa shehena za risasi yaongezeka
Idadi ya watuhumiwa wa ujambazi waliokamatwa na wananchi wa Kijiji cha Rung’abure, wilayani Serengeti wakiwa na risasi 397 za SMG imeongezeka na kufikia watatu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania