Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya

Mamlaka nchini Libya imesema kuwa imeshindwa kudhibiti idadi ya wahamiaji wanaotaka kuingia Ulaya kwa kutumia mlango wa nyuma.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliokufa China yaongezeka

Idadi ya watu waliouawa kwenye milipuko mikubwa katika bandari ya Tinjian nchini China siku ya Jumatano imeongezeka hadi watu 85

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wakimbizi yaongezeka duniani

Shirika la UNHCR, linasema idadi ya watu waliopoteza makao yao na kufanywa wakimbizi kutokana na vita ilipita milioni hamsini mwaka jana.

 

10 years ago

Habarileo

Idadi ya waliofia ziwani yaongezeka

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali mstaafu Issa MachibyaIDADI ya watu waliokufa katika ajali ya boti iliyotokea juzi katika Ziwa Tanganyika na wengine zaidi ya 70 kunusurika wakiwemo bwana na bibi harusi waliookolewa wakitoka kufunga ndoa, imeongezeka na kufikia kumi.

 

9 years ago

Michuzi

IDADI YA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU YAONGEZEKA KINONDONI


Chalila Kibuda,Globu ya jamiiUGONJWA wa kipindupindu unazidi kusambaa katika manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi habari leo Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni,Aziz Msuya watu waliofariki katika manispaa hiyo watatu.Amesema idadi ya wagonjwa katika manispaa imezidi kuongezeka kutoka 34 hadi kufikia 43.
Amesema dalili za huo ni  homa kali ,kuharisha pamoja na kutapika na kuongeza kuwa mtu akifikia dalili hizo awahi katika kituo cha afya.
Aidha amesema kujiepusha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Idadi ya waliokufa kwa Ebola yaongezeka

Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na maambukizi ya ugonjwa wa Ebola imeongezeka maradufu

 

10 years ago

CloudsFM

Idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji yaongezeka

Idadi ya wajawazito wanaojifungua kwa njia ya upasuaji nchini imeongezeka kwa asilimia 31 katika kipindi cha miaka 11.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Agnes Mtawa alisema hayo jana katika kongamano lililohusu magonjwa ya wanawake.

Alisema takwimu hizo zinaonyesha kuwa mwaka 2000 waliojifungua kwa njia hiyo walikuwa ni asilimia 19, lakini ilipofika mwaka 2011 walifikia asilimia 50.

Alisema tafiti zinatakiwa kufanyika ili kubaini chanzo.

Mtawa alisema licha ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Idadi ya wakimbizi Kambi ya Nyarugusu yaongezeka

Idadi ya wakimbizi kutoka Burundi wanaokimbia nchi yao na kuingia nchini Tanzania imefikia 91,661 hadi kufikia jana Jumanne.  Wakimbizi hao kwa sasa wamehifadhiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu mkoani Kigoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Idadi ya wanaojifungua kwa upasuaji yaongezeka

 Idadi ya wajawazito wanaojifungua kwa njia ya upasuaji nchini imeongezeka kwa asilimia 31 katika kipindi cha miaka 11.

 

11 years ago

Mwananchi

Idadi ya Watuhumiwa shehena za risasi yaongezeka

Idadi ya watuhumiwa wa ujambazi waliokamatwa na wananchi wa Kijiji cha Rung’abure, wilayani Serengeti wakiwa na risasi 397 za SMG imeongezeka na kufikia watatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani