IDADI YA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU YAONGEZEKA KINONDONI
Chalila Kibuda,Globu ya jamiiUGONJWA wa kipindupindu unazidi kusambaa katika manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi habari leo Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni,Aziz Msuya watu waliofariki katika manispaa hiyo watatu.Amesema idadi ya wagonjwa katika manispaa imezidi kuongezeka kutoka 34 hadi kufikia 43.
Amesema dalili za huo ni homa kali ,kuharisha pamoja na kutapika na kuongeza kuwa mtu akifikia dalili hizo awahi katika kituo cha afya.
Aidha amesema kujiepusha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi31 Aug
HALI YA KIPINDUPINDU MOROGORO BADO TETE IDADI YA WAGONJWA YAONGEZEKA.
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xO33mIAj5iY_y9FpMJXlotqHxShewxng8bTmGXVYrzY7PL0nEahgaSFhGYDhk2GgWvAfmo7ckdYI_JDT0V7xsb4=s0-d-e1-ft#http://www.itv.co.tz/media/image/MORO30.jpg)
Akizungumza na mtandao huu afisa afya mkoa wa Morogoro Carlesilas Lyimo amesema kutokana na kasi ya ongezeko la kipindupindu maafisa afya wamefanya operesheni katika maeneo mbalimbali yanayotoa huduma za chakula na vinywaji na kufanikiwa kukamata na...
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa yaongezeka hadi 24 kisiwani Zanzibar Tanzania
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa yaongezeka hadi kufikia 700 Kenya
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yaongezeka hadi kufikia 2767
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tUNFg79Qh_k/Xpwwif9yE9I/AAAAAAALnaY/f2gHzQQD4ckNVfwJu0R8X0VkYp3Ydy7cQCLcBGAsYHQ/s72-c/zanzibar%252Bpic.jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Idadi ya waliokufa China yaongezeka
11 years ago
BBCSwahili31 May
Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya