RAIS KIKWETE APOKEA HUNDI YA SH. MILIONI 100 KUTOKA CRDB KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO MORO
![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1k12ktXXbhjdqbwIrIFnMCsI80gv8Av4rlKwiYYte7***9bVl6IlAqJHFDejWbq9s-2dlZZoJtUJ*yfoxxY52d/1crdb4.jpg?width=650)
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni 100 kutoka benki hiyo kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyozikumba wilaya tatu za Kilosa, Mvomero na Gairo katika Mkoa wa Morogoro, mwezi uliopita katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam leo February 4, 2014 na kuhudhuriwa pia na Mhesimiwa William Lukuvi, Waziri wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL05 Feb
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 100 KUSAIDIA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO MKOANI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-spK6iW0DjoY/Va6bOOQ1O-I/AAAAAAAHq78/_8POj0doHCM/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Rais kikwete apokea hundi ya Bima ya Maisha
![](http://2.bp.blogspot.com/-spK6iW0DjoY/Va6bOOQ1O-I/AAAAAAAHq78/_8POj0doHCM/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Pinda apokea misaada ya wahanga wa mafuriko
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amepokea msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 141 kwa ajili watu waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea hivi karibuni Dumila, mkoani Morogoro. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI
11 years ago
Mwananchi05 Feb
JK aishukuru CRDB kusaidia Sh100mil kwa waathirika Moro
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisoma salamu maalumu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10