Rais kikwete apokea hundi ya Bima ya Maisha
![](http://2.bp.blogspot.com/-spK6iW0DjoY/Va6bOOQ1O-I/AAAAAAAHq78/_8POj0doHCM/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hundi ya malipo ya Bima ya Maisha(Flexi Provider) kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa(National Insurance Corporation of Tanzania Limited) NIC Bwana Sam Kamanga Ikulu jijini Dar es Salaam leo.Akimkabidhi hundi hiyo, Bw. Sam Kamanga amesema uwepo wa Mheshimiwa Rais kama mteja wa NIC imesaidia kukuza uelewa na shughuli za shirika hilo.“Kitendo cha Serikali kukatia Bima mali zake na taasisi zake, kumeongeza uwezo wa kifedha wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1k12ktXXbhjdqbwIrIFnMCsI80gv8Av4rlKwiYYte7***9bVl6IlAqJHFDejWbq9s-2dlZZoJtUJ*yfoxxY52d/1crdb4.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA HUNDI YA SH. MILIONI 100 KUTOKA CRDB KUSAIDIA WAHANGA WA MAFURIKO MORO
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisoma salamu maalumu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa...
9 years ago
StarTV13 Nov
Rais Magufuli apokea taarifa rasmi ya Rais Mstaafu Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli amepokea taarifa rasmi ya makabidhiano ya Ofisi kutoka kwa Rais Mstaafu Mheshimiwa Jakaya Kikwete.
Makabidhiano hayo yamefanyika leo mchana Ikulu jijini Dar es Salaam yakishuhudiwa na Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Maafisa wa Ofisi Binafsi ya Rais.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete amekabidhi taarifa rasmi yenye kurasa 53 ambayo kwa ujumla inaelezea kazi zilizokwishakufanyika...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea Ujumbe kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yk3Ma9T_hQY/VeoD5m9XFsI/AAAAAAAH2a4/Fr4HZROwjQU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGibJO**mq2pzjmaCQv7aEwM7TQHGS7ta6rk1Kon-xPhBCfHhzGB48OjCgLIdoQxE2U3t81Pn1LKG5LYMSOUbBmPb/1ss1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDAN KUSINI SALVAR KIIR JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Rais Kikwete apokea ujumbe toka kwa Rais wa Sudani ya Kusini Mhe Salvar Kiir jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea Jumamosi September 14, Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma.(Picha na IKULU).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HR4ff-k_juM/VBXdwOXcByI/AAAAAAAGjj0/1_v1NPyoidY/s72-c/ss1.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDANI YA KUSINI MHE SALVAR KIIR JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HR4ff-k_juM/VBXdwOXcByI/AAAAAAAGjj0/1_v1NPyoidY/s1600/ss1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaFF4gDtZlE/VBXdwtYQS7I/AAAAAAAGjj4/I2biopicjK0/s1600/ss2.jpg)