Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE LUCY OWENYA AKABIDHI JEZI KWA TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI YA LUCY OWENYA CUP 2015

Dkt Fidelis Owenya akikabidhi jezi kwa vilabu nane vilivyo fuzu kucheza hatua ya robo fainali katika mashindano ya kombe la Mbunge lijulikanalo kama Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini.Baadhi ya iongozi wa timu zilizofuzu hatua ya robo fainali wakifunga jezi zao mara baada ya kukabidhiwa kwa ajili ya hatua ya robo fainali. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAMALIZIKA,TIMU YA KIBOSHO KINDI YAIBUKA MABINGWA

Mbunge wa viti maalumu Lucy Owenya (Chadema)akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kibosho Kilima kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali katika mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015. 
Meza kuu wakifurahi mara baada ya mwamuzi kupuliza kipyenga cha mwisho ambapo timu ya Kibosho Kindi iliibuka na ushindi wa bao 3 kwa 1.
Mchezo ukiendelea.
Mashabiki wa timu ya soka ya Kibosho Kindi wakifurahia ushindi huo.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya Lucy Owenya Cup yazinduliwa jimbo la Moshi vijijini

DSCF4720

DSCF4689

Mbunge wa viti Maalumu mkoa wa Kilimanjaro, Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha kata 16 za jimbo hilo.

DSCF4696

DSCF4697

Baadhi ya wananchi waliohudhulia ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.

DSCF4700

Mbunge Owenya akicheza ngoma katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup.

DSCF4705

Baadhi ya timu zinazoshiriki mashindano hayo zikiwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika

E86A6621

Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.

Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.

 

Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi wa kiwanda cha TPC ili kuruhusu maji kupita. Mbunge Lucy Owenya...

 

10 years ago

Vijimambo

MVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.


Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji. 

Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo. 

Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo. 

Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...

 

9 years ago

Vijimambo

LUCY KIWIA AINGIA RASMI KATIKA TIMU YA WANANDOA

Jumapili ya tarehe 13/9/2015 ilikuwa siku ya furaha kwa bi Lucy Kiwia na familia nzima baada ya yeye Lucy kufunga pingu za maisha na bwana Asanteeli. Harusi hiyo iliyojaa mashamsham na furaha tele ilifanyika huko Baltimore Maryland. Kipekee kabisa harusi hiyo ilifanyika ndani ya Spirit of Baltimore-Cruise Ship ndogo ambayo wakati wote wa shughuli hizo ilikuwa ikirandaranda ndani ya bahari ya Atlantic na baadae ilisafiri kutoka Baltimore hadi Washington DC na kurudi tena Baltimore kupitia mto...

 

5 years ago

Michuzi

SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA ILALA ATOA MSAADA WA JEZI KWA TIMU YA ASHANTI UNITED

Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Hassan Zungu (katikati), akiteta jambo na viongozi wa Ashanti kabla ya kutoa msaada wa jezi kwa timu hiyo.
Zungu (wa pili kulia) akimkabidhi jezi Katibu wa Ashanti United, Haji Bechina, kulia ni msemaji wa timu hiyo, Rajab Marijan na kushoto ni meneja, Frank Manati wakishuhudia.
 Zungu (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kutoa msaada… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Owenya: ATCL kuwa na ndege moja aibu

MBUNGE wa Viti Maalumu, Lucy Owenya (CHADEMA), amesema ni aibu kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), kuwa na ndege moja wakati ilikuwa na ndege saba na ina rasilimali ambazo...

 

10 years ago

Mwananchi

Owenya ambwaga Komu, Machemli achemka, Blandes abwaga ubunge

>Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Lucy Owenya amewabwaga makada wanane wa chama hicho, akiwamo Mkurugenzi wa Fedha wa Chadema, Anthony Komu katika kura za maoni kuwania ubunge Jimbo la Moshi Vijijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani