MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAMALIZIKA,TIMU YA KIBOSHO KINDI YAIBUKA MABINGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s72-c/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
Mbunge wa viti maalumu Lucy Owenya (Chadema)akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kibosho Kilima kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali katika mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Meza kuu wakifurahi mara baada ya mwamuzi kupuliza kipyenga cha mwisho ambapo timu ya Kibosho Kindi iliibuka na ushindi wa bao 3 kwa 1.
Mchezo ukiendelea.
Mashabiki wa timu ya soka ya Kibosho Kindi wakifurahia ushindi huo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NJ-eRUdpatM/VWgCPDIevfI/AAAAAAAAQG0/tR6tt7uJPj0/s72-c/E86A8695%2B%2528800x533%2529.jpg)
MBUNGE LUCY OWENYA AKABIDHI JEZI KWA TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI YA LUCY OWENYA CUP 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-NJ-eRUdpatM/VWgCPDIevfI/AAAAAAAAQG0/tR6tt7uJPj0/s640/E86A8695%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ip9AA1RhbLY/VWgCcJ3CJGI/AAAAAAAAQHc/3NNnOvdOy4U/s640/E86A8708%2B%2528800x533%2529.jpg)
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
Mashindano ya Lucy Owenya Cup yazinduliwa jimbo la Moshi vijijini
Mbunge wa viti Maalumu mkoa wa Kilimanjaro, Lucy Owenya akiwasili katika uwanja wa michezo wa shule ya sekondari Singhiti kwa ajili ya ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini na kushirikisha kata 16 za jimbo hilo.
Baadhi ya wananchi waliohudhulia ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup 2015.
Mbunge Owenya akicheza ngoma katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Lucy Owenya Cup.
Baadhi ya timu zinazoshiriki mashindano hayo zikiwa...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA MALECELA CUP 2014 YAMALIZIKA JIMBO LA SAME MASHARIKI
BOFYA HAPA...
10 years ago
VijimamboMASHINDANO YA MTEMVU CUP YAFIKIA TAMATI, KATA YA 14 YAIBUKA KIDEDEA
10 years ago
VijimamboMVUA YASABABISHA MAFURIKO MOSHI VIJIJINI,MBUNGE LUCY OWENYA AWAFARJI WAATHIRIKA.
Mafuriko makubwa yamevikumba vijiji saba kikiwemo kiwanda cha sukari cha TPC na kuathiri miundombinu pamoja na makazi ya watu kujaa maji.
Mbunge wa viti maalumu ,Lucy Owenya (Chadema) (kulia)akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini ,Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitembelea maeneo yaliyo athirika na mafuriko hayo.
Mbunge Lucy Owenya akitizama sehemu ambayo wananchi walilazimika kuibomoa kwa kushirikiana na uongozi...
10 years ago
Dewji Blog05 May
Mvua yasababisha mafuriko Moshi vijijini, Mbunge Lucy Owenya awafariji waathirika
Mbunge wa viti maalumu, Lucy Owenya (Chadema) (kulia) akiwa ameongozana na diwani wa kata ya Arusha Chini, Rojas Mmari alipotembelea kujionea athari zilizotokana na mafuriko hayo.
10 years ago
Michuzi22 Jan
KAGERA WATUPWA NJE YA MASHINDANO YA WANAWAKE TAIFA CUP KWA MATUTA 4-3 NA TIMU YA MWANZA
Na Faustine Ruta, MwanzaTimu ya Wanawake kutoka Mkoa wa Kagera imetupwa nje ya Mashindano kwa Matuta baada ya kumaliza mtanange wao kwa sare ya Nyumbani ya Ushindi wa 2-1 na Ugenini,CCM Kirumba Mwanza na Matuta kupigwa na Timu ya Mwanza kuibuka na Ushindi wa bao 4-3.
Mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa CCM Kirumba Timu ya Mwanza ndio walianza kupata bao mapema dakika ya 2 kupitia kwa mchezaji wao matata Meriam Kimbuya (10) kwa kukatiza katikati ya mabeki na kufunga bao hilo la kwanza....
11 years ago
Michuzi30 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: PENATI ZAPIGWA TENA LEO KAITABA, KITENDAGURO FC YAIBUKA BINGWA NA KUSONGA NUSU FAINALI KWA PENATI 6-5 DHIDI YA TIMU YA RWAMISHENYE FC
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/auJq8fDCK8IARifmEZVul5JZeum7YIRk2qUACOSAbhe3oTM-YQv-QvcePMB-fbYSKd8QNd4cUB8D1h5DSRpiNTnFcERIJpG2UuIuVFWdsq0QphZb0yuwsLCi3tD3mX0RS-FmL3PKllzDGT3RmQv3uje966QbX1wPZj6_n3R05TXJdBH9yyAJAxZnHss6PDUkaxSVj-R0aaDlB2OYykmTTotAgivq4F3GlvI0Sb763qsXzUYyN0wW8eLi42Tj_gRPFgBbqhkAKxxhW7UcXbB7c4zSoKeqKPJ97jOPnuMBmaKbUu_cog=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10572393_722654031116082_488045349_o.jpg?oh=cec1698e19f95d144dadd0d089ba21fa&oe=53D9BA31&__gda__=1406795182_8299a02ce517b64203f448487ab2f8db)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/mNgK_dK1Vr7SAywb65HIpzIgEXMROy3gY_eb-ygDnpsaQOX1fui1fY78mzfegO5Lpua7cDixJiTqa2Jn3Cn7LJ54eRlCJs1rCJ7FFgHuGHNol7IvrICBCYWd48aqwY-fYdTddOSzuYrGA2dsQsHmifQgg5zDN3T88dwL3ezcrSElFFr69MiYvhSfMU8gf05hTwtTJ95vAzoCJ8srfBgaOzQraiZRA0zWlyUdNROkjj5gan-dKHFk9XmejHJVKvalTAhyikN84WMXpknMAB0Bkfm3z-bjBuqNpwZrobQ5iVny6HLoLw=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10571135_722654394449379_164698547_o.jpg?oh=b4153c77404aa57952f081473ebb422f&oe=53D990A3&__gda__=1406782014_c03e5b94753ccd8ac81daaad1a98834a)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/8Chy6gRd13ue9i-GwhSQ6vFvOEwe7jrWbdH-YlqD6IlESlX_mSFhaK1dZHq8K3J_thudqlXiFUWUsjwW_Lu3Igz-pt4EvTJ3C_U6oRW_JsUbDtjjglZ_EKvo0VeNMeO-rvWUYkGHxIsBU8C8tzY-CsHWukzrbfWh0-9iwwL0bHvbrtFqblZinwqNzQ3KCIWWVHRfdQFBIVVBoCVAUNJFIfxiznErCH4TBsI91GbPxDoCdFflDCRJvpT4D_Xfl43oT0KpCqB-fS2BIomwo8UBFB97R5tHoMSWROQWRX9TUa9wIb_cJrE=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10573894_722654921115993_2062049954_o.jpg?oh=cfe849f8100b8ae513040e01d4f56175&oe=53DA0CB6&__gda__=1406782374_f1c9b638627a676253e984fabe74a6cb)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/XNk4LwTt85VidJrIMz1lANJoEZwjH_gzUF7SHHEEs1i-znPvLSMsjMs_YaDmVmhrks1pGP0UC-_b1Rz_Qg-HWHrbqJdFUg_iYIYMEaqaobhQIBOM_n08iCo8GstwDYxGHxkZ99KZbpp_1ya7CO4yhgqMUrOwWp9Qliz-v-nPBGI6VYSBVFjZBQa5N6gok5Mh2dzoyDdPmR5n62Cff2K3QUvI0aPJBnuewZY794qHCBPFGu5TNs7x-a2djeSeVzqhqCTxcc2hKgN8Rs0KFHN0ewsfbDMHjgmXhIhaBlX1Bsu5sBF-zRM=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10587086_722654944449324_1372261837_o.jpg?oh=c8cdb93876a99d81300d30b3f80a86a2&oe=53D9E6D5&__gda__=1406789189_fa7ccbefff36d92db9ac8565e2d11035)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/FEuAjS20VkrxmbES2yDXbCVolTvqjAxkwFJur8h__r_ULOK4QLDmfI1yUd6zbRydNgNksKHMXE7t9JRO7pRt3h4j_KD_23pKSpFqRfUnu82oxYml6KqSsUZ3Ocd2t3QNF6vA-eU19HTNbmKGpDUjmd69f4AVrZKzzTli2yQ9jLHBaMBCPLoQ6AUKFOupzCo5p9YJYNS3-X_yBmm2f2TUhczimntf8p5uvM1Zp8xirdLNWO4j3KeyeNLNCp2a6ka23JhivfzVNVCIDwzy36obRTj6KL84TCKMGynpIljxPGniZ08PtNY=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10562832_722654931115992_1809398649_o.jpg?oh=cc9a9f9bbcd49169edddb72cd39d0ad6&oe=53DA06A2&__gda__=1406773682_56e3c8db8dbe3fed63bca2d70aa3c38a)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IQAPScgFlC8/U4jjGJbuc6I/AAAAAAAFmmQ/QEzKPBAZvxQ/s72-c/unnamed+(57).jpg)
BALOZI PETER KALLAGHE ATOA BARAKA ZAKE KWA TIMU YA TANZANIA KATIKA MASHINDANO.YA AFRICAN NATIONS CUP UK 2014.