MASHINDANO YA MTEMVU CUP YAFIKIA TAMATI, KATA YA 14 YAIBUKA KIDEDEA
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kushoto), akiwa na Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Dk.Fenellah Mukangala (kulia) aliyekuwa mgeni rasmi katika fainali za mashindano ya Mtemvu CUP yaliyofikia tamati viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam jana. Timu zilizoingia ingia fainali hiyo ni Miburani Kata ya 15 na Kata ya 14 ambayo iliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0.
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kushoto), akiwa na Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Dk.Fenellah Mukangala...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Genius Cup ya shule za Feza yafikia tamati Dar
MASHINDANO ya Genius Cup 2014 yamefikia tamati mkoani Dar es Salaam kwa kupata washindi watatu bora, baada ya kufanya mitihani ya Sayansi na Hisabati, ikilenga kutoa fursa kwa wanafunzi kupenda...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lskup_PINdU/VMZELXj33JI/AAAAAAAG_lA/WnqKXASauyc/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mashindano ya Makalla Cup yafika tamati wilayani Mvomero
Mgeni rasmi na mdhamini wa Mashindano hayo ya Makalla Cup alikuwa Mbunge wa Mvomero na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NukIQ8PKBRw/XlwD9SL7bqI/AAAAAAACzzY/Li47D4xaGFYCWMhTGMPoi5UAi8YnTE0sACLcBGAsYHQ/s72-c/1.png)
MANCHESTER CITY YAIBUKA KIDEDEA CORABAO CUP KWA KUICHAPA ASTON VILLA 2-1
![](https://1.bp.blogspot.com/-NukIQ8PKBRw/XlwD9SL7bqI/AAAAAAACzzY/Li47D4xaGFYCWMhTGMPoi5UAi8YnTE0sACLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Dakika 90 za Mchezo Kati ya Manchester City na Aston Villa kwenye Uwanja wa Wembley zimemalizika ....Manchester City Wamebeba Ubingwa wa Carabao Cup kwa msimu wa tatu mfululizo baada ya kuichapa Aston Villa 2-1
Hata hivyo, Mtanzania Mbwana Samatta amekuwa mchezaji wa kwanza wa Tanzania kuifunga goli Manchester City na amekuwa mchezaji wa tano kutoka Bara la Afrika kufunga kwenye Kombe la Ligi, wengine ni Didier Drogba , Joseph-Désiré Job, Obafemi Martins na Yaya...
10 years ago
MichuziNYAMLANI MGENI RASMI MASHINDANO YA ROBO FAINALI YAKWANZA YA MTEMVU CUP, DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s72-c/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAMALIZIKA,TIMU YA KIBOSHO KINDI YAIBUKA MABINGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s640/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EWsdpJyrDr4/VXe9GMHScmI/AAAAAAAAQuc/6Y3y71kkVF8/s640/E86A9960%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-90kRhci7Mss/VXe9DttStpI/AAAAAAAAQuE/n9TCP82fKxA/s640/E86A9942%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IIVavhRcqnc/VXe9I5wBnqI/AAAAAAAAQu4/tF3OpB7nHA0/s640/E86A9979%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
VijimamboMASHINDANO YA MTEMVU CUP YAZINDULIWA RASMI VIWANJA VYA MWEMBE YANGA DAR ES SALAAM
10 years ago
GPLMASHINDANO YA MTEMVU CUP YAZINDULIWA RASMI VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FjFOiJZv0y0/UvCskubv4HI/AAAAAAAFKxk/ISzeJzYkWnU/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Mashindano ya Diwani Cup kata ya Mutuka yazinduliwa huko Mkoani Manyara
![](http://1.bp.blogspot.com/-FjFOiJZv0y0/UvCskubv4HI/AAAAAAAFKxk/ISzeJzYkWnU/s1600/unnamed+(24).jpg)
Diwani wa Kata ya Mutuka Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Mwalimu Yona Wao amezindua mashindano ya soka kwenye kata yake itakayoshirikisha timu tano za vijiji vilivyopo...