Mashindano ya Makalla Cup yafika tamati wilayani Mvomero
![](http://3.bp.blogspot.com/-lskup_PINdU/VMZELXj33JI/AAAAAAAG_lA/WnqKXASauyc/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Fainali za michezo mpira wa miguu kutafuta bingwa wa wilaya ya Mvomero zinazokwenda kwa jina la Makalla Cup zimehitimishwa jana kwa mamia ya watazamaji kujitokeza kwa wingi katika uwanja wa Kialawa, Kijiji cha Bwagala ambapo ulizikutanisha katika Fainali Timu ya Koloni ya Bwagala na timu ya Mkuyuni ya Mlali na hatimaye ubingwa wa Makalla Cup ulikwenda kwa Timu ya Koloni kwa kuifunga Mkuyuni mabao 2-1.
Mgeni rasmi na mdhamini wa Mashindano hayo ya Makalla Cup alikuwa Mbunge wa Mvomero na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKAWAMBWA CUP YAFIKA TAMATI
10 years ago
VijimamboMASHINDANO YA MTEMVU CUP YAFIKIA TAMATI, KATA YA 14 YAIBUKA KIDEDEA
10 years ago
VijimamboMAONYESHO YA TANZANIA BUILDEX INTERNATIONAL TRADE EXHIBITION YAFIKA TAMATI
Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya Jumamosi Januari 31, 2015.
Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya kigeni kutoka falme za kiarabu ya S.K.M Air Conditioning LLC na wadau wengine yameshirikisha makampuni zaidi ya 50, ya ndani na nje ya Tanzania ambapo wameonyesha bidhaa zao hizo pamoja na kuuza.
Baadhi ya makampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KzMOUEwZg9I/VWGp7Gne2kI/AAAAAAAHZf4/6sRgIeEzpVI/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Makalla afunika Mvomero
Akihutubia maelfu ya wananchi hao aliwaeleza kuwa katika kipindi cha uongozi wake amekuwa ni mdau mkubwa...
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Makalla ziarani kwenye Jimbo la Mvomero
![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFwfM30qcLE/VK1JpUFKSRI/AAAAAAAG71Y/CdG9_H5IldQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--mwYkJz_U7s/VK1Jrh4ZbhI/AAAAAAAG71s/9utWviGs-ZA/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSHISPd2O7E/VXkwl7gFtQI/AAAAAAAHemY/rFIt7Co7-qk/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Makalla akabidhi pikipiki 5 kwa kata mpya Mvomero
Akikambidhi pikipiki hizo, Mbunge wa Mvomero alimueleza mwenyekiti wa wilaya ya Mvomero ndg Abdalah Mtiga kuwa msaada huo ni muendelezo wa kukisaidia Chama wilaya ya Mvomero kwani awali alisaidia pikipiki 23 na hizo 5 inafanya jumla ya pikipiki alizosaidia Chama kuwa 28 zenye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...