MH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Na John Nditi, Morogoro
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh6d8nbQ5Z8/VOl0bW9W6eI/AAAAAAAHFEY/2W0WeiijJ7k/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qvo8aqQxejO0ZU8nPTxX9iUsLlX63Q97XBVD1ySz1etRowcaFF5WNfUA2oLn2fCPjZNLS12x*T4vgCZi5y17Go7/unnamed6.jpg?width=650)
MBUNGE WA MVOMERO, MH. AMOS MAKALLA ATUMIA BODABODA KUFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qh43sVVTvic/VPBhoEF4QjI/AAAAAAAHGMk/OjL29VnzpeU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mh. Makalla aendelea na ziara jimboni kwake kwa usafiri wa bodaboda
Kutokana na kutokuwepo kwa barabara nzuri za kuelekea kwenye kijiji hicho,Mh. Makalla aliamua kutumia zaidi ya saa moja kufika kijiji cha Sewe kwa kutumia usafiri wa pikipiki ili mradi awafikie wananchi wake.
Mara baada ya kuwasili kijiji hicho,wananchi walifurahi na...
10 years ago
Dewji Blog20 May
Mtemvu afanya ziara ya ukaguzi wa maeneo yaliyoharibiwa na mvua jimboni kwake
Diwani wa Soko la Tazara Vetenary Zahoro Maganga akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipotembelea maeneo yaliyoharibiwa na mvua akiongozana na viongozi wa Wakala wa Serikali wa Barabara (Tanroads) jinsi maji yanavyotakiwa kufata mfereji huo ambao haupitishi maji kupeleka katika mfereji huo (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia) akizungumza na viongozi wa Wakala wa Serikali wa Barabara (Tanroads) katika ziara ya kutembelea...
11 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI AFANYA ZIARA WILAYANI MVOMERO
11 years ago
MichuziMH. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA JIMBONI KWAKE CHATO
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Kasi ya RC Makalla yautikisa Mkoa wa Kilimanjaro, afanya ziara za kushtukiza
Na Mwandishi Wetu, Moshi
MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara ya kushtukiza katika masoko manne ya Manispaa ya Moshi pamoja na dampo za kukusanyia uchafu, ili kujionea hali ya usafi na utendaji kazi katika mkoa huo. Katika ziara hiyo, RC Makalla alitumia muda huo kuwaagiza watendaji wake, hususan katika mchakato mzima wa kuifanya Moshi iwe kwenye usafi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s640/Moshi%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KzMOUEwZg9I/VWGp7Gne2kI/AAAAAAAHZf4/6sRgIeEzpVI/s72-c/unnamed%2B%252862%2529.jpg)
Makalla afunika Mvomero
Akihutubia maelfu ya wananchi hao aliwaeleza kuwa katika kipindi cha uongozi wake amekuwa ni mdau mkubwa...