Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-jh6d8nbQ5Z8/VOl0bW9W6eI/AAAAAAAHFEY/2W0WeiijJ7k/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla jana alifanya ziara katika Jimbo lake hilo kwa kutumia usafiri wa pikipiki kufika kitongoji cha Ifumbo kilicho kilomita 20 toka kijiji cha Mvomero ambacho kwa historia hakijawahi kufikiwa na kiongozi yeyote tangu uhuru.
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qvo8aqQxejO0ZU8nPTxX9iUsLlX63Q97XBVD1ySz1etRowcaFF5WNfUA2oLn2fCPjZNLS12x*T4vgCZi5y17Go7/unnamed6.jpg?width=650)
MBUNGE WA MVOMERO, MH. AMOS MAKALLA ATUMIA BODABODA KUFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE
10 years ago
MichuziZiara ya Makalla jimboni kwake Mvomero
Katika ziara yake ya kichama amekagua kazi zinazotanywa na kikundi cha wakina mama wafinyanga vyungu, wakinamama wajasiriamali wauza kokoto na walima bustani.
Aidha amezindua Shina la ushindi ambalo wakinamama wafinyanga vyungu ndiyo wanachama wa Shina hilo, Katika kuunga Mkono...
11 years ago
MichuziMH. MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,ambaye pia ni Naibu Waziri wa Maji,kuanzia Julai 3 hadi 7, mwaka huu, alifanya ziara ya kikazi iliyilenga kuhamasisha shughuli za maendeleo ya wananchi wake wa vijiji mbalimbali vya Tarafa ya Mlali, Turiani na Mvomero.
Katika ziara hiyo, ametoa misaada ya aina mbalimbali ya kifedha na vifaa kwa ajili ya kuharakisha maendeleo ya huduma za kijamii ikiwa ni pamoja na kuzundua vituo vya kuchota maji Kijiji cha Mgogo, Kata ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qh43sVVTvic/VPBhoEF4QjI/AAAAAAAHGMk/OjL29VnzpeU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mh. Makalla aendelea na ziara jimboni kwake kwa usafiri wa bodaboda
Kutokana na kutokuwepo kwa barabara nzuri za kuelekea kwenye kijiji hicho,Mh. Makalla aliamua kutumia zaidi ya saa moja kufika kijiji cha Sewe kwa kutumia usafiri wa pikipiki ili mradi awafikie wananchi wake.
Mara baada ya kuwasili kijiji hicho,wananchi walifurahi na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s72-c/IMG-20140606-WA0008.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s1600/IMG-20140606-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7cy8AkV2MTE/U5FeYALE7mI/AAAAAAAAEjc/AoEA8hzKIuY/s1600/IMG-20140606-WA0007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-5qX3ly9KE/U5FeYz0ik7I/AAAAAAAAEjk/9UCo2txkR_A/s1600/IMG-20140606-WA0006.jpg)
10 years ago
Mtanzania28 May
Amos Makalla azidi kuiimarika jimboni
Na Ramadhan Libenanga, Mvomero
MBUNGE wa Mvomero, Amos Makalla, amezidi kuimarika katika siasa jimboni kwake baada ya kuvunja ngome ya Ukawa kwa wanachama 53 wa vyama vya CUF na Chadema kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo lilitokea juzi katika mkutabno wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Madizini, ambako alisema yeye ni mbunge wa vitendo na si wa maneno kama walivyo watu wengine.
Makalla ambaye pia Naibu Waziri wa Maji, alisema katika kipindi alichopewa ridhaa na wapiga kura...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s72-c/6.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA NAPE NNAUYE ASHIRIKI KUFANYA USAFI NA WANANCHI JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye na wakazi wa jimbo hilo ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iKvu9VyK1Bw/VmfjPhuoS8I/AAAAAAAAsHU/i8Lg2rqs9ag/s640/7.jpg)
Usafi ukiendelea Mtama ambapo wananchi wamesafisha mitaro yote pamoja na maeneo ya sokoni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CKcrEgeg4gc/VmfjNy2uZJI/AAAAAAAAsHE/u-5iiOf2B84/s640/11.jpg)
Mbunge wa Jimbo la...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yi2EdAXAE0g/UvRl-tE-PGI/AAAAAAAFLdk/IMDp63X87Hs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yi2EdAXAE0g/UvRl-tE-PGI/AAAAAAAFLdk/IMDp63X87Hs/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ooPySYtHfww/UvRl_ATfUMI/AAAAAAAFLd4/VFty8n3L0SY/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mxs2Jv8g1xs/VLM9FPw9jZI/AAAAAAAG8zc/c9KMrD0eVSI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa maji Amos Makalla Mbeya vijijini