MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s72-c/IMG-20140606-WA0008.jpg)
Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Meru Dr Paul Akyoo akifanya maombi kwa Bw Joshua Nassari ,Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki na Bi Anande Nnko wanaotarajia kufunga ndoa Jumamosi hii.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akimwimbia mchumba wake Bi Anande Nnko wakati wa sherehe ya Send off iliyofanyika nyumbani kwao na Bi Harusi Mtarajiwa ,Meru.
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akiwa amekumbatiana na Mchumba wake Bi Anande Nnko muda mfupi baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Jun
MASANJA MKANDAMIZAJI ALIVYO WAVUNJA MBAVU WAALIKWA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI
11 years ago
GPLHARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pHeDt-gnpnw/VXg88mTXHDI/AAAAAAAAQw4/jDfAu7fwxR0/s72-c/20150609102655%2B%25281%2529.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSAR AANDALIWA SHEREHE JIMBONI KWAKE ,NI BAADA YA KUTATUA MGOGORO WA MAJI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pHeDt-gnpnw/VXg88mTXHDI/AAAAAAAAQw4/jDfAu7fwxR0/s640/20150609102655%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z_DuLtBqJAU/VXg9BOfJRjI/AAAAAAAAQxM/5_wFEcwz3mE/s640/20150609102655.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eRGxeAKREv4/VXg88nfNvOI/AAAAAAAAQw8/tzcnUOMVT7I/s640/20150609102655%2B%25282%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--10eobYcy8M/VXg88fyd_qI/AAAAAAAAQw0/sD14-RBjj3Y/s640/20150609102655%2B%25283%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s49gbw8Rx5w/VXg-P6fL33I/AAAAAAAAQxc/d64iMJmwbc8/s640/IMG-20150607-WA0049.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh6d8nbQ5Z8/VOl0bW9W6eI/AAAAAAAHFEY/2W0WeiijJ7k/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qvo8aqQxejO0ZU8nPTxX9iUsLlX63Q97XBVD1ySz1etRowcaFF5WNfUA2oLn2fCPjZNLS12x*T4vgCZi5y17Go7/unnamed6.jpg?width=650)
MBUNGE WA MVOMERO, MH. AMOS MAKALLA ATUMIA BODABODA KUFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s72-c/6.jpg)
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA NAPE NNAUYE ASHIRIKI KUFANYA USAFI NA WANANCHI JIMBONI KWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-fLYKLgogI2c/VmfjO08CriI/AAAAAAAAsHI/IhU3fDE8JJI/s640/6.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Yahaya Nawanda (mwenye fulana nyeusi) akishiriki usafi pamoja Mbunge wa Jimbo la Mtama Ndugu Nape Nnauye na wakazi wa jimbo hilo ikiwa sehemu ya kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli inayowataka wananchi kushiriki usafi wa mazingira kwenye siku ya kilele cha kusheherekea uhuru wa Tanzania, Desemba 9.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iKvu9VyK1Bw/VmfjPhuoS8I/AAAAAAAAsHU/i8Lg2rqs9ag/s640/7.jpg)
Usafi ukiendelea Mtama ambapo wananchi wamesafisha mitaro yote pamoja na maeneo ya sokoni.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CKcrEgeg4gc/VmfjNy2uZJI/AAAAAAAAsHE/u-5iiOf2B84/s640/11.jpg)
Mbunge wa Jimbo la...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s640/nasari.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jDi1s21z2g/VZwOO6Q4SjI/AAAAAAAAe8s/_ukTjSgGjeU/s640/nasari.jpg)
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA KUMEREMETA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3bCsdtgeUZA/U-L-eY0C1SI/AAAAAAAAGxI/HHWJCB9nX7k/s72-c/IMG-20140806-WA0002.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWEMO WA BARA LA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bCsdtgeUZA/U-L-eY0C1SI/AAAAAAAAGxI/HHWJCB9nX7k/s1600/IMG-20140806-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xmYV_L0A2ds/U-L-eW71ueI/AAAAAAAAGxM/7e3Uqs4yT4I/s1600/IMG-20140806-WA0003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PDPsVktezfg/U-L-fqWVmuI/AAAAAAAAGxU/q1jWFIXFIFY/s1600/IMG-20140806-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R1JtqlzyLmc/U-L-g5WXfwI/AAAAAAAAGxg/rmUGRJvLUrg/s1600/IMG-20140806-WA0006.jpg)