MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Arumeri Mashariki, Joshua Nassari amepata ajali ya Helkopta aliyokuwa akiitumia kufanya ziara jimboni kwake hii leo.Habari kutoka Arum,eru zinasema kuwa Helkopta hiyo ilipoteza mwelekeo na kwenda kugonga mti na kunasa juu ya mti huo.
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuTNVXBAINJvMa0f26Lyqsi3GVodq1SIDrR77d7Gzykzya88O4MXJ7u0WgMx9KPN*bL4VVmhPzwZTjcthCeSED*/IMG20140608WA0011_thumb2.jpg?width=650)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s72-c/images.jpg)
BREAKING NEWZZZ: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s1600/images.jpg)
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha Mhe. Joshua Nassari (pichani) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kutuhumiwa na tukio la kumteka mtendaji wa kata ya makiba.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas alisema kuwa Mhe Nassari huyu alikamatwa majira ya saa moja usiku December 16 katika eneo la Doli lililopo katika kijiji cha UsaRiver kwenye gari aina ya Land cruiser lenye namba za usajili T 753...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s1600/images.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mbunge Joshua Nassari ashiriki ujenzi wa chanzo cha maji kijiji cha Karangai katika jimbo la Arumeru Mashariki
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s640/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKtCfTghbvo/VW_zy1isn_I/AAAAAAAAQaY/R04Q3tcGpTU/s640/11350631_10153393922822938_4279072481082144597_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePmbIYrDxv4/VW_zzfgT7EI/AAAAAAAAQac/CJiAlEgkTZU/s640/11377205_10153393924747938_7031091485843044706_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2TNsBTjfLHE/VW_z6LAThkI/AAAAAAAAQa4/ABXOdZNxLyc/s640/11391753_10153393923607938_4006811402682417743_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s72-c/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI AMEPATA AJALI BAADA YA HELIKOPTA ALIYOKUWA AKIITUMIA KUKUMBWA NA DHORUBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s640/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
Kwa taarifa za mwanzo zinasemekana mbunge huyo amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja Wa abiria wake kavunjika mguu.Mbunge amekimbizwa katika Hosptali ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2GxQcPwDBk4/VbAAHajOIpI/AAAAAAAAEfQ/YFP-dC9iGGA/s72-c/N%2B1.jpg)
JOSHUA NASSARI ACHAGULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2GxQcPwDBk4/VbAAHajOIpI/AAAAAAAAEfQ/YFP-dC9iGGA/s640/N%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OC-2X8SLp_k/VbAAWgmisvI/AAAAAAAAEfY/MX1yOp_vyhs/s640/N%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BDk5XpbFpsA/U81EQvgra1I/AAAAAAAF4aY/QE-KNnX9FDY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Mhe Joshua Nassari katika program ya mafunzo kwa viongozi wadogo walioonyesha dira marekani, Arumeru kuanzisha urafiki na Jimbo la Arkansas
![](http://3.bp.blogspot.com/-BDk5XpbFpsA/U81EQvgra1I/AAAAAAAF4aY/QE-KNnX9FDY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A8Bc4uRQnb4/U81EQXv29_I/AAAAAAAF4aU/NL3HiTGCfnI/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA KUMEREMETA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s72-c/IMG-20140606-WA0008.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s1600/IMG-20140606-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7cy8AkV2MTE/U5FeYALE7mI/AAAAAAAAEjc/AoEA8hzKIuY/s1600/IMG-20140606-WA0007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-5qX3ly9KE/U5FeYz0ik7I/AAAAAAAAEjk/9UCo2txkR_A/s1600/IMG-20140606-WA0006.jpg)