Mhe Joshua Nassari katika program ya mafunzo kwa viongozi wadogo walioonyesha dira marekani, Arumeru kuanzisha urafiki na Jimbo la Arkansas
![](http://3.bp.blogspot.com/-BDk5XpbFpsA/U81EQvgra1I/AAAAAAAF4aY/QE-KNnX9FDY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Mbunge wa Arumeru Mashariki, mhe Joshua Nassari amefanya mazungumzo na Seneta Joyce Elliott wa Chama cha Democrat ch Rais Obama Nchini Marekani. Pamoja na mambo mengine wamejadiliana kuhusu mpango wa kuanzisha urafiki kati ya Halmashauri ya Meru na Jimbo la Arkansas la Marekani.
Mbunge wa Arumeru Mashariki, mhe Joshua Nassari, akitoa mada. Mhe Nassari yupo nchini Marekani Pamoja na vijana wengine toka nchi zote za Afrika kwa ajili ya program ya mafunzo kwa viongozi wadogo walioonyesha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuTNVXBAINJvMa0f26Lyqsi3GVodq1SIDrR77d7Gzykzya88O4MXJ7u0WgMx9KPN*bL4VVmhPzwZTjcthCeSED*/IMG20140608WA0011_thumb2.jpg?width=650)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s72-c/images.jpg)
BREAKING NEWZZZ: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-qczRbbtLbS0/VJFatyIVm8I/AAAAAAAG3w8/9Wk2tcgyxKY/s1600/images.jpg)
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha Mhe. Joshua Nassari (pichani) anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kutuhumiwa na tukio la kumteka mtendaji wa kata ya makiba.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas alisema kuwa Mhe Nassari huyu alikamatwa majira ya saa moja usiku December 16 katika eneo la Doli lililopo katika kijiji cha UsaRiver kwenye gari aina ya Land cruiser lenye namba za usajili T 753...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE JOSHUA NASSARI AACHIWA KWA DHAMANA NA MAHAKAMA YA MWANZO YA MAJI YA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Tc0kjcbI048/VJGPLKC80oI/AAAAAAAG36g/rW2uJJ0N6gM/s1600/images.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mbunge Joshua Nassari ashiriki ujenzi wa chanzo cha maji kijiji cha Karangai katika jimbo la Arumeru Mashariki
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s640/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKtCfTghbvo/VW_zy1isn_I/AAAAAAAAQaY/R04Q3tcGpTU/s640/11350631_10153393922822938_4279072481082144597_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePmbIYrDxv4/VW_zzfgT7EI/AAAAAAAAQac/CJiAlEgkTZU/s640/11377205_10153393924747938_7031091485843044706_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2TNsBTjfLHE/VW_z6LAThkI/AAAAAAAAQa4/ABXOdZNxLyc/s640/11391753_10153393923607938_4006811402682417743_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2GxQcPwDBk4/VbAAHajOIpI/AAAAAAAAEfQ/YFP-dC9iGGA/s72-c/N%2B1.jpg)
JOSHUA NASSARI ACHAGULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2GxQcPwDBk4/VbAAHajOIpI/AAAAAAAAEfQ/YFP-dC9iGGA/s640/N%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OC-2X8SLp_k/VbAAWgmisvI/AAAAAAAAEfY/MX1yOp_vyhs/s640/N%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NUZEUpmMCR4/U9Y-32CH_II/AAAAAAAF7XM/5N7QzyIjyZM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Obama kukutana leo viongozi wadogo walioonyesha dira toka nchi zote za Afrika jijini Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUZEUpmMCR4/U9Y-32CH_II/AAAAAAAF7XM/5N7QzyIjyZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-NUZEUpmMCR4/U9Y-32CH_II/AAAAAAAF7XM/5N7QzyIjyZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
OBAMA KUKUTANA LEO NA VIONGOZI WADOGO WALIOONYESHA DIRA TOKA NCHI ZOTE ZA AFRIKA JIJINI WASHINGTON DC
10 years ago
Michuzi27 Aug
MHE. LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA MHE. ARNELL MILLS, MEYA WA MJI WA HELENA-WEST HELENA KUTOKA JIMBO LA ARKANSAS MAREKANI
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/10625087_10152346818807479_1515226333222891814_n.jpg?oh=64308ad3833592428ccea305c347413f&oe=546C43DD&__gda__=1415738928_768e96f0585df4ee1670685235cc23b0)
Mhe. Meya Wills akipokelewa na Bw.Suleiman Saleh, Afisa wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano waTanzania, Washington DC mara baada ya kuwasili Ubalozini hapo kwa mazungumzo na Mhe. Balozi Liberata Mulamula
![](https://fbcdn-sphotos-e-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/t31.0-8/10485513_10152346818812479_8827848353377217115_o.jpg)
Mhe. Liberata Mulamula,Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani akiwa katika mazungumzo na Mhe.Arnell Wills, Meya wa mji wa Helena-West Helena, Arkansas, Marekani,Ubalozini Tanzania House, Washington DC.
![](https://scontent-a-lga.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/l/t31.0-8/10496926_10152346818817479_4810686442739465277_o.jpg)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/t31.0-8/1912114_10152346818802479_7164735362486305738_o.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s640/nasari.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jDi1s21z2g/VZwOO6Q4SjI/AAAAAAAAe8s/_ukTjSgGjeU/s640/nasari.jpg)
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10