MBUNGE JOSHUA NASSARI AMEPATA AJALI BAADA YA HELIKOPTA ALIYOKUWA AKIITUMIA KUKUMBWA NA DHORUBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s72-c/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
Kwa taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mbunge Wa Arumeru Mashariki ndugu Joshua Nasary amepata ajali leo jioni akiwa maeneo ya Leguruki.
Kwa taarifa za mwanzo zinasemekana mbunge huyo amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja Wa abiria wake kavunjika mguu.Mbunge amekimbizwa katika Hosptali ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s640/nasari.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jDi1s21z2g/VZwOO6Q4SjI/AAAAAAAAe8s/_ukTjSgGjeU/s640/nasari.jpg)
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3bCsdtgeUZA/U-L-eY0C1SI/AAAAAAAAGxI/HHWJCB9nX7k/s72-c/IMG-20140806-WA0002.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWEMO WA BARA LA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bCsdtgeUZA/U-L-eY0C1SI/AAAAAAAAGxI/HHWJCB9nX7k/s1600/IMG-20140806-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xmYV_L0A2ds/U-L-eW71ueI/AAAAAAAAGxM/7e3Uqs4yT4I/s1600/IMG-20140806-WA0003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PDPsVktezfg/U-L-fqWVmuI/AAAAAAAAGxU/q1jWFIXFIFY/s1600/IMG-20140806-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R1JtqlzyLmc/U-L-g5WXfwI/AAAAAAAAGxg/rmUGRJvLUrg/s1600/IMG-20140806-WA0006.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s72-c/IMG-20140606-WA0008.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s1600/IMG-20140606-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7cy8AkV2MTE/U5FeYALE7mI/AAAAAAAAEjc/AoEA8hzKIuY/s1600/IMG-20140606-WA0007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-5qX3ly9KE/U5FeYz0ik7I/AAAAAAAAEjk/9UCo2txkR_A/s1600/IMG-20140606-WA0006.jpg)
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA KUMEREMETA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO
11 years ago
Michuzi26 Jun
MASANJA MKANDAMIZAJI ALIVYO WAVUNJA MBAVU WAALIKWA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI
11 years ago
MichuziMBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO WAMEREMETA KWENYE KANISA LA PENTEKOSTE KILINGA,MERU
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari na Mai Waifu wake Anande Nnko wakishangiliwa kwa shangwe mara baada ya kumeremeta kwao kwenye kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru jijini Arusha.
KUONA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuTNVXBAINJvMa0f26Lyqsi3GVodq1SIDrR77d7Gzykzya88O4MXJ7u0WgMx9KPN*bL4VVmhPzwZTjcthCeSED*/IMG20140608WA0011_thumb2.jpg?width=650)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
11 years ago
CloudsFM12 Jun
11 years ago
GPLHARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA