MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO WAMEREMETA KWENYE KANISA LA PENTEKOSTE KILINGA,MERU
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari na Mai Waifu wake Anande Nnko wakishangiliwa kwa shangwe mara baada ya kumeremeta kwao kwenye kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru jijini Arusha.
KUONA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLHARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA ANANDE NNKO KANISA LA PENTEKOSTE KALINGA MERU, YAFANA
Msafara wa gari chache majira ya saa 2:30 ulianza safari katika viwanja vya Usa-River ambako gari za maharusi zilikuwa zikipambwa mdogo mdogo zikapanda Kilima zikiwa na maharusi Joshua Nassari na Anande Nnko safari ilikuwa ni kanisa la Kipentekoste la Kilinga,Meru tayari kwa ajili ya Ndoa.…
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA KUMEREMETA MBUNGE JOSHUA NASSARI NA MKEWE ANANDE NNKO
Maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakiweka pozi kwa ajili ya kuchukuliwa Taswira. Maharusi , Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa na wapambe wao katika pozi la kuchukua Taswira.…
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s640/nasari.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jDi1s21z2g/VZwOO6Q4SjI/AAAAAAAAe8s/_ukTjSgGjeU/s640/nasari.jpg)
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s72-c/IMG-20140606-WA0008.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-U3UEyzDx1lw/U5FeXOMhJ5I/AAAAAAAAEjY/25Tf4jVx4HI/s1600/IMG-20140606-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7cy8AkV2MTE/U5FeYALE7mI/AAAAAAAAEjc/AoEA8hzKIuY/s1600/IMG-20140606-WA0007.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I-5qX3ly9KE/U5FeYz0ik7I/AAAAAAAAEjk/9UCo2txkR_A/s1600/IMG-20140606-WA0006.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3bCsdtgeUZA/U-L-eY0C1SI/AAAAAAAAGxI/HHWJCB9nX7k/s72-c/IMG-20140806-WA0002.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI AKUTANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WAKIWEMO WA BARA LA AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bCsdtgeUZA/U-L-eY0C1SI/AAAAAAAAGxI/HHWJCB9nX7k/s1600/IMG-20140806-WA0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xmYV_L0A2ds/U-L-eW71ueI/AAAAAAAAGxM/7e3Uqs4yT4I/s1600/IMG-20140806-WA0003.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PDPsVktezfg/U-L-fqWVmuI/AAAAAAAAGxU/q1jWFIXFIFY/s1600/IMG-20140806-WA0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R1JtqlzyLmc/U-L-g5WXfwI/AAAAAAAAGxg/rmUGRJvLUrg/s1600/IMG-20140806-WA0006.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Jun
MASANJA MKANDAMIZAJI ALIVYO WAVUNJA MBAVU WAALIKWA HARUSI YA MBUNGE JOSHUA NASSARI
Video imepigwa na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini..
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuTNVXBAINJvMa0f26Lyqsi3GVodq1SIDrR77d7Gzykzya88O4MXJ7u0WgMx9KPN*bL4VVmhPzwZTjcthCeSED*/IMG20140608WA0011_thumb2.jpg?width=650)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA NASSARI ASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha Mhe. Joshua Nassari. Na Woinde Shizza, Arusha
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki mkoani Arusha Mhe. Joshua Nassari anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kutuhumiwa na tukio la kumteka mtendaji wa kata ya makiba. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Lebaratus Sabas alisema kuwa Mhe Nassari huyu alikamatwa majira ya saa moja usiku ...
11 years ago
CloudsFM12 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s72-c/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI AMEPATA AJALI BAADA YA HELIKOPTA ALIYOKUWA AKIITUMIA KUKUMBWA NA DHORUBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s640/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
Kwa taarifa za mwanzo zinasemekana mbunge huyo amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja Wa abiria wake kavunjika mguu.Mbunge amekimbizwa katika Hosptali ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania