Kasi ya RC Makalla yautikisa Mkoa wa Kilimanjaro, afanya ziara za kushtukiza
Na Mwandishi Wetu, Moshi
MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara ya kushtukiza katika masoko manne ya Manispaa ya Moshi pamoja na dampo za kukusanyia uchafu, ili kujionea hali ya usafi na utendaji kazi katika mkoa huo. Katika ziara hiyo, RC Makalla alitumia muda huo kuwaagiza watendaji wake, hususan katika mchakato mzima wa kuifanya Moshi iwe kwenye usafi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s640/Moshi%2B3.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s72-c/Moshi%2B3.jpg)
KASI YA RC KILIMANJARO NI BALAA, AFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UAPwrp2-IWI/Vlw3aLBTl_I/AAAAAAAAJPU/etuKf7TH3VE/s640/Moshi%2B3.jpg)
9 years ago
BBCSwahili25 Dec
Modi afanya ziara ya kushtukiza Pakistan
11 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AFANYA ZIARA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Hazina Kuu
9 years ago
MichuziRais Magufuli afanya Ziara ya Kushtukiza Hazina
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Waziri wa Fedha afanya ziara ya kushtukiza Bandari Kavu
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiangalia kontena lenye shehena ya vitenge badala ya unga wa gypsum kama nyaraka zilivyoonyesha.
Baadhi ya wafanyabiashara wabainika kukwepa kulipa kodi kwa kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam, ambapo huandikisha taarifa na maelezo tofauti na bidhaa halisi zilizomo ndani ya makontena ili kuwawezesha kukwepa kodi kwa kulipia kiasi kidogo.
Kutokana na udanganyifu huo, Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya alifanya ziara ya kushtukiza...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Waziri Nchemba Afanya Ziara Ya Kushtukiza Usiku Machinjioni Dar
![Mwigulu (1)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-1.png)
![Mwigulu (2)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-2.png)
![Mwigulu (3)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-3.png)
![Mwigulu (4)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-4.png)
![Mwigulu (5)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Mwigulu-5.png)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Kigwangalla Afanya Ziara ya Kushtukiza Hospitali za Rufaa Lindi na Mtwaraâ€
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Waziri Saada Mkuya afanya ziara ya kushtukiza Kariakoo na Mtaa wa Namanga
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiongoza na viongozi wa mkoa wa kodi wa Ilala kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na maafisa wa Serikali alipofanya ziara ya kushtukiza leo jijini Dar es salaam katika soko la Kariakoo kujionea namna wafanyabiashara wanavyozingatia na kusimamia matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD ambazo wanazopaswa kuzitumia mara wanapouza bidhaa zao ili kusaidia Serikali kukusanya mapato na kuboresha utoaji wa huduma za jamii nchini. Wa...